mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
ndio mkuu ni kitu kimoja. tenth au tithes.Zaka na fungu la kumi ni sawa/kitu kimoja?
Kiwango kilipangwa na watu au kimetoka kwenye maandiko?
Naomba kujuzwa
ndio 1/10 ya upatacho, unapaswa kumrudishia Mungu ishara ya utii na kumtambua kama yeye ndiye mpaji.
zaka ni sehemu ya kumi (walawi 27:30-32).
Zoezi hilo limeambatana na ahadi tele na Mungu amesema umjaribu.
1)Ameahidi kubariki hata pasiwepo sehemu ya kutosha. Unahaki ya kudai.
2)Atazuia majanga yasikupate wewe na mali zako.
Malaki 3:10,11