Faida ya kutoa fungu la kumi

kesho kutwa

JF-Expert Member
Dec 7, 2016
1,628
1,786
Moja kwa moja MUNGU anakwenda kumkemea yeye (ibilisi) alaye afya zetu, biashara zetu ndoa zetu nk.

Malaki 3:11.
Inasema;... Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi.]

Ibilisi anakula. Kanuni inasema kuwa, Kama humtolei Bwana fungu la kumi, basi unamtolea Yule alaye. Chukua hatua anza Leo usisubiri kesho peleka kanisani unapoamini na sio kwa wajane ama maskini la hasha! kule peleka sadaka za kawaida. Na pengine huenda ikawa nyingi kuliko hata zaka.
 
Moja kwa moja MUNGU anakwenda kumkemea yeye (ibilisi) alaye afya zetu, biashara zetu ndoa zetu nk.

Malaki 3:11.
Inasema;... Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi.]

Ibilisi anakula. Kanuni inasema kuwa, Kama humtolei Bwana fungu la kumi, basi unamtolea Yule alaye. Chukua hatua anza Leo usisubiri kesho peleka kanisani unapoamini na sio kwa wajane ama maskini la hasha! kule peleka sadaka za kawaida. Na pengine huenda ikawa nyingi kuliko hata zaka.


Ukipata MUDA mzuri soma the universe law kuhusu kutoa.

Bible is nice book, but read more various books if you really want to grow spiritual.

Tithing is for those who cannot afford something or their end meet
 
Naunga mkono HOJA

Kutokulipa ZAKA ni sawa tu na MKULIMA kula mbegu. Lazima awe maskini.

Ukitaka uishi maisha ya kutokupungukiwa, Lipa ZAKA.

Amen
Sijawahi kutoa zaka kanisani wala misikitini , nadunda tu , huo ulazima wa kuwa maskini mnawadanganya kondoo wasio weza kufikiri vizuri mwavune tu .
 
Moja kwa moja MUNGU anakwenda kumkemea yeye (ibilisi) alaye afya zetu, biashara zetu ndoa zetu nk.

Malaki 3:11.
Inasema;... Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi.]

Ibilisi anakula. Kanuni inasema kuwa, Kama humtolei Bwana fungu la kumi, basi unamtolea Yule alaye. Chukua hatua anza Leo usisubiri kesho peleka kanisani unapoamini na sio kwa wajane ama maskini la hasha! kule peleka sadaka za kawaida. Na pengine huenda ikawa nyingi kuliko hata zaka.
Mimi naomba kuelimishwa,
1. Kwa mjibu wa Torati ya Musa zaka walipokea Walawi na Makuhani,
Kwa sasa kwa mjibu wa agano jipya wote wenye kumwamini Kristo ni Makuhani,
Je ni sahihi Mkristo kutoa zaka kwa usahihi upi?
2. Walawi na Makuhani waliopokea zaka nao ktk zile zaka walizopokea walikuwa wakitoa kwa wajane, yatima na wahitaji, je hawa maaskofu na wachungaji wanaopokea zaka hutoa nao ile asilimia inayopaswa kwenda kwenye hayo makundi?
3. Kwa mjibu wa Torati zaka ilitakiwa kutolewa mara moja kwa mwaka kutoka km ni mfungaji au mkulima, hii ya sasa kutaka watu watoe zaka kila wiki, mwezi inatoka wapi?

4. Mungu si Tanzania Revenue Authority (TRA)
Hii ya wapokea zaka kutoa risiti wameitoa wapi?
Au Mungu ni TRA?
 
Fungu langu la 10 watakula wale wote wenye uhitaji tu. Manabii na mitume feki, mtasubiri sana.
 
Unajua kila mafanikio ina pattern zake sasa kwa wakristo pattern ni ngumu ila n nyepesi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom