Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,482
- 3,340
Wakuu habari, nataka nianze kufanya uzalishaji wa bidhaa fulani (), ni wazo nimekuwa nalo kwa takribani mwaka sasa, kwasababu nilikuwa natafuta taarifa sahihi.
Nataka nianze kwa sasa, ila kuna mambo yananichanganya, mfano hio product kabla sijaanza kusambaza sehemu husika, si ni lazima nipate vibali ? Kuna some amount of money nitatakiwa kutoa, issue inakuja kua ni anze wapi, na makodi kibao kama yote alafu ndio kwanza nimeanza hii itakuaje?
Jambo la pili je nikitaka kushirikiana na partners, naweza ku sign
NON DISCLOSURE AGREEMENT? na wao wasiweze kutumia wazo langu au formula baadae kwasababu, bado hatuaminiani, tunaweza kugeukana baadae.
Je hio NON DISCLOSURE AGREEMENT inaweza wafunga?.
Nataka nianze kwa sasa, ila kuna mambo yananichanganya, mfano hio product kabla sijaanza kusambaza sehemu husika, si ni lazima nipate vibali ? Kuna some amount of money nitatakiwa kutoa, issue inakuja kua ni anze wapi, na makodi kibao kama yote alafu ndio kwanza nimeanza hii itakuaje?
Jambo la pili je nikitaka kushirikiana na partners, naweza ku sign
NON DISCLOSURE AGREEMENT? na wao wasiweze kutumia wazo langu au formula baadae kwasababu, bado hatuaminiani, tunaweza kugeukana baadae.
Je hio NON DISCLOSURE AGREEMENT inaweza wafunga?.