ushamba tu, kwani hao watoto waliingia na shoka ndani ya tv na kuanza kukata nyaya? dalili ya umaskini ukiopitiliza, yaani tv😂😂 takataka kabisaSijaitengeneza ili wajifunze kuthamini na kutunza vitu.
Huwa nawapa nafasi ya kuangalia TV yangu ya chumbani siku ya Jummosi tena ni masaa matatu tu saa tisa mchana hadi saa 12 jioni, baada ya hapo ni mpaka wiki ijayo.
Weye hauna muongozo😀