Hahah ni mwendo tuuMkuu unatuongezea kiu ya bureeee!!!!
Unapunguza sifuri hahahHapo kama ulikuwa na laki mbili unabakiwa na mia mbili tu.
Ni mwendo tuuuu hahah
Hawa wakijamba tegeta ushuzi unanuka chamazi
HahahahahaHawa wakijamba tegeta ushuzi unanuka chamazi
Hahaha usijali mkuuHao kwass siwez kuwatafta maana sina hela,kufata magoma hayo wakat hela huna ni upuuzi ni upuuz na kujidhalilisha na hata akikupenda na umaskini wako jiandae kufa kwa plesha.....nkipata pesa watuma picha nitawatafta mnielekeze walipo
Makwesaa.....mh! 🙄