Mimi toka 2018 mpaka sasa halafu mtu anasema watu 1.1M hawajachukua vitambulisho wakati ukienda unaambiwa bado kipo kweny processNilijiandikisha NIDA tangu March,2019. Mwaka Jana 2020 nikapata namba, nikaambiwa kitambulisho Bado. Mwaka huu nimefuatilia sana naambiwa tu subiri kikiwa tayari utapigiwa simu. Mbaya zaidi watumishi wa pale wala lugha mbaya sana. Ukiuliza swali kwa ustaarabu wanakujibu kama ugomvi vile. Eti "kama umeshapata namba umefuata nini hapa?"!
Naomba mwenye kujua alternative procedures nipate kadi maana ninashida na kadi na siyo namba.
Ahsante.
Dah huu ndo mwaka ganmimi tokea 2103
Bad enough sijui ni yupi kati ya hao wachache nliowasadia mkuuKama ulimsaidia mtu, itabidi kitambulisho kitoke kwanza. Then mchukue huyo mtu uende nae NIDA na hiyo ID yake. Watamtoa kwenye system haraka sana.
hahahahaaah kuvurugwa 2013Dah huu ndo mwaka gan
daah!mm nlikuwa nmejiandikisha tayari kwa hyo taarifa zilipoingiliana wakaamua kupiga pinMkuu pole sana, hata mimi kuna kipindi nilikua operator na nilivokuja kujiandikisha pia nilipata wasiwasi sana kupata namba, ila Mungu mkubwa nna namba nangoja kitambulisho tu.
Hapa DAR?,nataka nikarekebishe jina langu wamelikosea.Nyinyi mnakwama wapi. Watu mbona vinapotea na wanapewa vingine haraka ti baada ya kulipia 20 Kama taratibu zao zinavyoelekeza!
Mimi kasoro ipo kwenye umri lakini nasubiri wakati wa kurenew 2024 ndio nikarekebishe sijui napo watatoza?NIDA wenyewe wanakupa control number alafu ndo unaenda kulipia crdb bank. Sawa na ukitaka kurekebisha majina au simu ulioandika NIDA utaratibu ni huo.
Pole mkuu nadhani ni opalerators wengi wamepata hiyo shida, kwa maana hiyo hapo sio wewe tu na kuna wengine wengi ambao uliwasaidia nao watakua wamepigwa pin.D daah!mm nlikuwa nmejiandikisha tayari kwa hyo taarifa zilipoingiliana wakaamua kupiga pin
Kwel mkuu,hapa nafanya namna nkipata wa makao huko nmpange hata kwa kidogo aweze nifanyia mpango maana kuna site nafanyia hapa kila cku nawapiga soundPole mkuu nadhani ni opalerators wengi wamepata hiyo shida, kwa maana hiyo hapo sio wewe tu na kuna wengine wengi ambao uliwasaidia nao watakua wamepigwa pin.
Kama ni hivyo, maandalizi ya sensa yana maana gani sasa!
Nlikuwa mnawaandikisha watuMkuu pole sana, hata mimi kuna kipindi nilikua operator na nilivokuja kujiandikisha pia nilipata wasiwasi sana kupata namba, ila Mungu mkubwa nna namba nangoja kitambulisho tu.
Namba zaoNamshukuru Mungu mm nimepata mwezi uliopita nilijiandikisha 2019
Kilichonisaidia mm nilikuwa napiga simu NIDA makao makuu toka mwaka huu mwez wa tano nikawa nawasumbua kila wiki napiga nakuwadanganya kuwa nimepata chuo nje so wanataka ID ya taifa
Mwez wa nane mwanzon nikawapigia wakaniambia mbona kimetoka nenda ofisi yako ya mtaa ulipojiandkikishia
Kweli nilipoenda nikakipata kitambulisho changu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Legeza wallet mkuu mimi nilikipata ndani ya wiki tatu tu
nenda ofisi za kata yako utakuta tiyari, ukikosa nenda nida uwaeleze hali halisi. Wakuambie tatizo ni niniNilijiandikisha NIDA tangu March,2019. Mwaka Jana 2020 nikapata namba, nikaambiwa kitambulisho Bado. Mwaka huu nimefuatilia sana naambiwa tu subiri kikiwa tayari utapigiwa simu. Mbaya zaidi watumishi wa pale wala lugha mbaya sana. Ukiuliza swali kwa ustaarabu wanakujibu kama ugomvi vile. Eti "kama umeshapata namba umefuata nini hapa?"!
Naomba mwenye kujua alternative procedures nipate kadi maana ninashida na kadi na siyo namba.
Ahsante.