Mkuu weka namba ya hao NIDA uliyokuwa ukiwapigia nami niipigeNamshukuru Mungu mm nimepata mwezi uliopita nilijiandikisha 2019
Kilichonisaidia mm nilikuwa napiga simu NIDA makao makuu toka mwaka huu mwez wa tano nikawa nawasumbua kila wiki napiga nakuwadanganya kuwa nimepata chuo nje so wanataka ID ya taifa
Mwez wa nane mwanzon nikawapigia wakaniambia mbona kimetoka nenda ofisi yako ya mtaa ulipojiandkikishia
Kweli nilipoenda nikakipata kitambulisho changu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app