Masinki
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 695
- 461
Zingatia kichwa cha habari, hatimaye inaelekea kutimia, bado miezi michache sana kufanyike uchaguzi mkuu wa viongozi katika ngazi za urais, ubunge na udiwani.
Ndio ni mwaka ambao ni furaha sana kwa wanasiasa, wananchi na wapambe wa wagombea.
Lakini pia ni mchungu kwa baadhi ya wanasiasa na makundi yao(ndugu,jamaa,na marafiki bila kuwasahau wapambe)
Ni mwaka ambao wakina Mshana Jr na waganga wengine watachuma fedha haswa kutoka kwa ndugu zetu wanasiasa lengo ni kusaidiwa washinde kwenye nyadhifa waombazo.
Wagombea wameanza kujitokeza kwa kificho (kuna vyama vimezuia kampeni)wanaenda kwa wajumbe, viongozi wa ngazi za wilaya ili kujitambulisha ama kuelezea Nia mfano Jimbo nililopo kwa sasa kuna mtifuano mkali kati Mwl. Chacha Ryoba (Mbunge wa Sasa), Dr.Kebwe S.Kebwe, (Mbunge wa zamani), Marwa Chandi (x mnec,mfanyabiashara), Nkiri itabe (Mtendaji Kijiji Lobanda) na wengineo.
Sawa ni haki ya Kila mmoja kugombea nafasi za uongozi lakini kama taifa lazima tuangalie watu wa kuwapatia nafasi za kuongoza,kwenye urais sina shaka sana maana Dr Magufuli kwa upande wangu anafaa, kwa upinzani niseme kweli sijaona mtu mwenye leadership quality, hawajaandaliwa kuwa viongozi wa nchi labda wa vyama ambapo na kwenyewe wanafeli, rejea kauli ya Baba wa Taifa kwamba mpinzani wa kweli atatoka CCM.
Nitoe Rai kwa Benard K Membe, ni vema akarudi kwa Dr Magufuli aombe msamaha no matter what, hawezi kuwa Rais wa nchi iwe kwa amani ama kwa shari, he can't be there, so sululuhisho ni kuomba msamaha walau aje azikwe kwa heshima kama walivyofanya wenzake Lowassa & Sumaye.
Aidha rafiki zangu wapinzani ni wakati wa nyinyi kujitafakali upya nilishangaa Sana Chadema kumpa Tena Mbowe Freeman uenyekiti wa Taifa,mnapaje mtu aliyefeli hata jimboni kwake? Hivi hamuoni yule DC HAI alivyomzidi akili?
Anyway endeleeni, lakini sure nawaambieni hamna jipya na wala hamsutui kwenye ubunge mkipata walau watatu (3), udiwani(15) mshukuru sana Mungu. Maana itakuwa ajabu kama shule ya kata Machochwe wanafunzi wake kupata division One darasa zima.
Ndio ni mwaka ambao ni furaha sana kwa wanasiasa, wananchi na wapambe wa wagombea.
Lakini pia ni mchungu kwa baadhi ya wanasiasa na makundi yao(ndugu,jamaa,na marafiki bila kuwasahau wapambe)
Ni mwaka ambao wakina Mshana Jr na waganga wengine watachuma fedha haswa kutoka kwa ndugu zetu wanasiasa lengo ni kusaidiwa washinde kwenye nyadhifa waombazo.
Wagombea wameanza kujitokeza kwa kificho (kuna vyama vimezuia kampeni)wanaenda kwa wajumbe, viongozi wa ngazi za wilaya ili kujitambulisha ama kuelezea Nia mfano Jimbo nililopo kwa sasa kuna mtifuano mkali kati Mwl. Chacha Ryoba (Mbunge wa Sasa), Dr.Kebwe S.Kebwe, (Mbunge wa zamani), Marwa Chandi (x mnec,mfanyabiashara), Nkiri itabe (Mtendaji Kijiji Lobanda) na wengineo.
Sawa ni haki ya Kila mmoja kugombea nafasi za uongozi lakini kama taifa lazima tuangalie watu wa kuwapatia nafasi za kuongoza,kwenye urais sina shaka sana maana Dr Magufuli kwa upande wangu anafaa, kwa upinzani niseme kweli sijaona mtu mwenye leadership quality, hawajaandaliwa kuwa viongozi wa nchi labda wa vyama ambapo na kwenyewe wanafeli, rejea kauli ya Baba wa Taifa kwamba mpinzani wa kweli atatoka CCM.
Nitoe Rai kwa Benard K Membe, ni vema akarudi kwa Dr Magufuli aombe msamaha no matter what, hawezi kuwa Rais wa nchi iwe kwa amani ama kwa shari, he can't be there, so sululuhisho ni kuomba msamaha walau aje azikwe kwa heshima kama walivyofanya wenzake Lowassa & Sumaye.
Aidha rafiki zangu wapinzani ni wakati wa nyinyi kujitafakali upya nilishangaa Sana Chadema kumpa Tena Mbowe Freeman uenyekiti wa Taifa,mnapaje mtu aliyefeli hata jimboni kwake? Hivi hamuoni yule DC HAI alivyomzidi akili?
Anyway endeleeni, lakini sure nawaambieni hamna jipya na wala hamsutui kwenye ubunge mkipata walau watatu (3), udiwani(15) mshukuru sana Mungu. Maana itakuwa ajabu kama shule ya kata Machochwe wanafunzi wake kupata division One darasa zima.