Ni muhimu kufundisha watoto biashara yako tangu wakiwa wadogo, Wahindi hili wameliweza

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Ninakumbuka familia moja ya Wahindi nikiwa mdogo. Mke na mume wote walikua madaktari wa macho. Walijaliwa kupata watoto wawili wakiume na wa kike. Walikua na clinic yao ya macho kwenye nyumba yao ya ghorofa. Chini ndiyo ilikuwa ofisi na juu waliishi wenyewe.

Niliwafahamu zaidi wale watoto kwakusoma wote tuition jioni. Jumamosi walishinda kwenye ofisi ya wazazi wao wakisaidia shughuli. Baada ya form six wote walikwenda kusomea u daktari Canada.

Yule wa kiume si jui alioa au kutoa mahari lakini huyo mke/mchumba alihamia kwa wakwe akiwa anasoma form five na six. Na yeye alianza kufundishwa kazi Jumamosi. Alikuwa kama mtoto wa familia aliyebaki pale nyumbani.

Sasa hivi yule mtoto wa kiume ndiye daktari wa ile clinic na wana watoto wakubwa pia anawatunza wazee wake.

Nilpenda kuona walivyomuandaa kijana wao na mkwe wao walimlea wenyewe.

Familia nyingi za Kiafrika kwanza biashara ni siri ya Baba. Mradi mnakula, mnavaa na mnasoma msihoji mengine. Pili kuishi na wakwe ni mtihani.
 
Kila mtu afanye apendacho unamlazimisha mwanao udaktari kakwambia anataka kuwa daktari?? Kama anapenda engineering??



Sent using Jamii Forums mobile app
Halazimishwi anajengwa!Mimi tumrkubaliana na wanangu .. kuanzia Julai nawaanzishia biashara ya ubuyu...watakuwa wanasimamia mauzo,tutaanza kuwapelekea ndugu ma wadogo,ba mdogo,wajomba,shangazi,Kaka,marafiki Mikoa mbalimbali, na wao wanawazambazia naamini kwa hamasa walio nayo,wakifika Darasa la Saba watakuwa wamejifunza mengi sans...natumaini mteja mwingine stakuwa Ni SkyEklat!
 
Halazimishwi anajengwa!Mimi tumrkubaliana na wanangu .. kuanzia Julai nawaanzishia biashara ya ubuyu...watakuwa wanasimamia mauzo,tutaanza kuwapelekea ndugu ma wadogo,ba mdogo,wajomba,shangazi,Kaka,marafiki Mikoa mbalimbali, na wao wanawazambazia naamini kwa hamasa walio nayo,wakifika Darasa la Saba watakuwa wamejifunza mengi sans...natumaini mteja mwingine stakuwa Ni SkyEklat!
Hili ni wazo zuri, hakika utafanikiwa,
 
Ninakumbuka familia moja ya Wahindi nikiwa mdogo. Mke na mume wote walikua madaktari wa macho. Walijaliwa kupata watoto wawili wakiume na wa kike. Walikua na clinic yao ya macho kwenye nyumba yao ya ghorofa. Chini ndiyo ilikuwa ofisi na juu waliishi wenyewe.

Niliwafahamu zaidi wale watoto kwakusoma wote tuition jioni. Jumamosi walishinda kwenye ofisi ya wazazi wao wakisaidia shughuli. Baada ya form six wote walikwenda kusomea u daktari Canada.

Yule wa kiume si jui alioa au kutoa mahari lakini huyo mke/mchumba alihamia kwa wakwe akiwa anasoma form five na six. Na yeye alianza kufundishwa kazi Jumamosi. Alikuwa kama mtoto wa familia aliyebaki pale nyumbani.

Sasa hivi yule mtoto wa kiume ndiye daktari wa ile clinic na wana watoto wakubwa pia anawatunza wazee wake.

Nilpenda kuona walivyomuandaa kijana wao na mkwe wao walimlea wenyewe.

Familia nyingi za Kiafrika kwanza biashara ni siri ya Baba. Mradi mnakula, mnavaa na mnasoma msihoji mengine. Pili kuishi na wakwe ni mtihani.
Shida yetu wabantu biashara zetu ni za kuloga kulogana na kulogwa hapo unafanyaje kwa mfano!
 
Ninakumbuka familia moja ya Wahindi nikiwa mdogo. Mke na mume wote walikua madaktari wa macho. Walijaliwa kupata watoto wawili wakiume na wa kike. Walikua na clinic yao ya macho kwenye nyumba yao ya ghorofa. Chini ndiyo ilikuwa ofisi na juu waliishi wenyewe.

Niliwafahamu zaidi wale watoto kwakusoma wote tuition jioni. Jumamosi walishinda kwenye ofisi ya wazazi wao wakisaidia shughuli. Baada ya form six wote walikwenda kusomea u daktari Canada.

Yule wa kiume si jui alioa au kutoa mahari lakini huyo mke/mchumba alihamia kwa wakwe akiwa anasoma form five na six. Na yeye alianza kufundishwa kazi Jumamosi. Alikuwa kama mtoto wa familia aliyebaki pale nyumbani.

Sasa hivi yule mtoto wa kiume ndiye daktari wa ile clinic na wana watoto wakubwa pia anawatunza wazee wake.

Nilpenda kuona walivyomuandaa kijana wao na mkwe wao walimlea wenyewe.

Familia nyingi za Kiafrika kwanza biashara ni siri ya Baba. Mradi mnakula, mnavaa na mnasoma msihoji mengine. Pili kuishi na wakwe ni mtihani.
Tatizo tunapenda kurukia vitu tusovijua. Tunaangaza matokeo bila kujua chimbuko. Waafrika wengi utajiri unapatikana ndivyo sivyo, je utamfundisha mtoto naye awe punda? Au aende kuua Tembo? Au awe mla rushwa? Hao wahindi si kizazi cha pili bali cha tatu na kuendelea. Ambapo pesa imeishatakatishwa
 
Hata hapa Tanzania wapo waswahili wanawarithisha watoto wao biashara. Kuna mama mmoja kitaa flani alikuwa ni muuza gongo maarufu na alishirikiana na bint yake vizuri tu na sasa bint ndo anaendesha hicho kilinge cha kuuza ulanzi. Na pia naifaham familia moja mitaa ya Manzese kwa mfuga mbwa, mama (single mom) alikuwa ni mdangaji mzuri sana na alikuwa na mabint watatu na amewafundisha hio kazi ba sasa wao pia wanaendeleza hiyo kazi. Hapo kwao ukienda huduma ni muda wowote.
 
Ninakumbuka familia moja ya Wahindi nikiwa mdogo. Mke na mume wote walikua madaktari wa macho. Walijaliwa kupata watoto wawili wakiume na wa kike. Walikua na clinic yao ya macho kwenye nyumba yao ya ghorofa. Chini ndiyo ilikuwa ofisi na juu waliishi wenyewe.

Niliwafahamu zaidi wale watoto kwakusoma wote tuition jioni. Jumamosi walishinda kwenye ofisi ya wazazi wao wakisaidia shughuli. Baada ya form six wote walikwenda kusomea u daktari Canada.

Yule wa kiume si jui alioa au kutoa mahari lakini huyo mke/mchumba alihamia kwa wakwe akiwa anasoma form five na six. Na yeye alianza kufundishwa kazi Jumamosi. Alikuwa kama mtoto wa familia aliyebaki pale nyumbani.

Sasa hivi yule mtoto wa kiume ndiye daktari wa ile clinic na wana watoto wakubwa pia anawatunza wazee wake.

Nilpenda kuona walivyomuandaa kijana wao na mkwe wao walimlea wenyewe.

Familia nyingi za Kiafrika kwanza biashara ni siri ya Baba. Mradi mnakula, mnavaa na mnasoma msihoji mengine. Pili kuishi na wakwe ni mtihani.
Utamaduni wa wahindi na Tabia zao ni tofouti nasi wa Tanzania wa Hindi niwaminifu wenyewe kwa wenyewe wana upendo wa familia.........tofouti ni sie Mke wako hakuamini na anakupenda kwa machale watoto wako sio waminifu kwa mali za familia wanatamani kuuza mali za familia hata kabla hujaafa......kuna kisa kimoja nilikihusudia baba alienda bucha kununua nyama nakijana ake wakati anachomowa pesa alidodosha 10,000 Yule kijana ake akaiyona akaikanyaga baba asiione, nakaaichukua badaye.....kwahiyo hizo ndotabiya zetu wa Africa sasa huyu umweke, kwenye Biashara zako atakufirisi tu. Sisi tunazaa miili sio nafusi watoto wetu nitofauti sana kitabia na upendo na wazazi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halazimishwi anajengwa!Mimi tumrkubaliana na wanangu .. kuanzia Julai nawaanzishia biashara ya ubuyu...watakuwa wanasimamia mauzo,tutaanza kuwapelekea ndugu ma wadogo,ba mdogo,wajomba,shangazi,Kaka,marafiki Mikoa mbalimbali, na wao wanawazambazia naamini kwa hamasa walio nayo,wakifika Darasa la Saba watakuwa wamejifunza mengi sans...natumaini mteja mwingine stakuwa Ni SkyEklat!

Acha kutumikisha watoto wadogo wewe, hujaelewa dhana ya mada hii tulia ujifunze.... wewe ni wale wazazi mnashinda na watoto wenu kwenye vibanda eti wanauza karanga na ubuyu.
 
Utamaduni wa wahindi na Tabia zao ni tofouti nasi wa Tanzania wa Hindi niwaminifu wenyewe kwa wenyewe wana upendo wa familia.........tofouti ni sie Mke wako hakuamini na anakupenda kwa machale watoto wako sio waminifu kwa mali za familia wanatamani kuuza mali za familia hata kabla hujaafa......kuna kisa kimoja nilikihusudia baba alienda bucha kununua nyama nakijana ake wakati anachomowa pesa alidodosha 10,000 Yule kijana ake akaiyona akaikanyaga baba asiione, nakaaichukua badaye.....kwahiyo hizo ndotabiya zetu wa Africa sasa huyu umweke, kwenye Biashara zako atakufirisi tu. Sisi tunazaa miili sio nafusi watoto wetu nitofauti sana kitabia na upendo na wazazi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninadhani tatizo kubwa ni nalezing, hatuwi karibu na watoto wetu tangu mwanzo wa maisha yao hasa wanaume. Fikiria mtu anaekufundisha kumshika Willy wakati unakojoa amasivyo mkojo utaishia miguuni na pia anakufundisha kujamba unajamba chooni usijambe mbele za watu. Mtu huyu utakua umejenga nae uaminifu, na hasa akiwa muwazi kukueleza umuhimu wa kutunza pesa hata akidondosha pesa utamwambia tu.
 
Ninadhani tatizo kubwa ni nalezing, hatuwi karibu na watoto wetu tangu mwanzo wa maisha yao hasa wanaume. Fikiria mtu anaekufundisha kumshika Willy wakati unakojoa amasivyo mkojo utaishia miguuni na pia anakufundisha kujamba unajamba chooni usijambe mbele za watu. Mtu huyu utakua umejenga nae uaminifu, na hasa akiwa muwazi kukueleza umuhimu wa kutunza pesa hata akidondosha pesa utamwambia tu.
Mkuu sidhani ukaribu ndo shida kubwa kwa familia zetu kukosa maadili na waminufu mtu anakaa na mke zaidi ya miaka kumi wana lala kitanda kimoja wanauungana kimwili almost kila usiku na sometime mchana,

ila cha ajabu unakuta huyu mke kasha jenga nyumba yake sehemu bila mmewe kujua, kamtafutia mtoto wake wa kike mchumba bila baba kujua wanaficha kila kitu cha familia hao watu ndo wakusogeza kwenye biashara yako!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sidhani ukaribu ndo shida kubwa kwa familia zetu kukosa maadili na waminufu mtu anakaa na mke zaidi ya miaka kumi wana lala kitanda kimoja wanauungana kimwili almost kila usiku na sometime mchana,

ila cha ajabu unakuta huyu mke kasha jenga nyumba yake sehemu bila mmewe kujua, kamtafutia mtoto wake wa kike mchumba bila baba kujua wanaficha kila kitu cha familia hao watu ndo wakusogeza kwenye biashara yako!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wanaofanya haya maranyingi wanakua wanetoka kwenye familia zenye matatizo. Anajenga nyumba kwa siri ili shida zisimrudie.

Wahindi wanaishi kwa discipline, hata mke unaoa uliyetafutiwa na familia. Umempenda huku mpenda hiyo ni siri yako. Lakini wazee wanakua wameshaona mbali kuhusu chaguo walilo kuchagualia .
 
Hilo suala ni muhim sana kwa kizaz cha sasa
Mimi mpaka sasa natamani kufungua biashara sema nakosa mtu wa kmuamini na kumuweka(kiufupi nataka mtu mwenye spirit km yangu ya utaftaji hela)

So nlchokifanya nimeanza kmuandaa anko wangu wa kike....yupo form 3

Namuita mida ya jioni tunakaa wote ofisin....wateja wakiwa wengi hua namuambia awasikilize wengne wkt mimi nahudumia wengne

Namuuliza bei ya vitu duka zima...!!namfundisha faida na hasara...!!jinsi ya kujua bei ya kuuza bidhaa mpk kuweka akiba

Nia yangu nataka mimi nkakae ofisi mpya yeye abaki hapa kwa sasa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wanaofanya haya maranyingi wanakua wanetoka kwenye familia zenye matatizo. Anajenga nyumba kwa siri ili shida zisimrudie.

Wahindi wanaishi kwa discipline, hata mke unaoa uliyetafutiwa na familia. Umempenda huku mpenda hiyo ni siri yako. Lakini wazee wanakua wameshaona mbali kuhusu chaguo waliko kuchagualia .
Sasa tatizo la sie watanzania 90% za familia zetu kutoka humble background kiuchumi wanapata elimu duni ajira ya hovyo kipato duni maisha duni unazaa watoto nakuwalea kiumasikini kwahiyo the vicious cycle of poverty continues......... ......hapa kupata familia sahihi ya kuoa mo nikama bahati nasibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo suala ni muhim sana kwa kizaz cha sasa
Mimi mpaka sasa natamani kufungua biashara sema nakosa mtu wa kmuamini na kumuweka(kiufupi nataka mtu mwenye spirit km yangu ya utaftaji hela)

So nlchokifanya nimeanza kmuandaa anko wangu wa kike....yupo form 3

Namuita mida ya jioni tunakaa wote ofisin....wateja wakiwa wengi hua namuambia awasikilize wengne wkt mimi nahudumia wengne

Namuuliza bei ya vitu duka zima...!!namfundisha faida na hasara...!!jinsi ya kujua bei ya kuuza bidhaa mpk kuweka akiba

Nia yangu nataka mimi nkakae ofisi mpya yeye abaki hapa kwa sasa



Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana, Wapemba wakitoka msikitini kwenye vikao vya kahawa wanaongelea biashara na mara nyingi watoto wao wanakua nao.

Wahindi mgeni akija huwani mwenza wa biashara na maongezi yanakuwa sebuleni. Hata ukifa watoto wanawajua wenza wako wa biashara na pia wanakua na dhana hiyo akilini.
 
Wahindi wanadiscpline sana.
1.Hawana matumizi ya anasa mfno Mtu anaweza kunywa soda 4 kwa siku kisa tu anayopesa mfukoni wahindi hawana ilo.

2.Hawali hotelini wanapunguza gharama wanajitahidi kula nyumbani kupunguza cost.na kama chai wanabeba kwenda nazo kazini.

3.Wengi wanaishi karibu na kazi unakuta chini offisi juu anaishi anapunguza cost za Usafiri

4.Wanapumzika mchana wanafunga maduka na wanaenda kupumzika na jioni SAA 11 wanaenda nyumbani.

5.Vijana wengi hawapendi michepuko maana waaminifu

6.Wanaimani ya Dini sana.Wanaswali au wanatoa kafara sana.

Tukiweza hvyo tutafanikiwa kuendesha biashara ya familia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan sisi wabongo cjui nan katuroga....mfumo wetu wa maisha haueleweki kabiiiisaaa...!!
Safi sana, Wapemba wakitoka msikitini kwenye Bilal vya kahawa wanaongelea biashara na mara nyingi watoto wao wanakua nao.

Wahindi mgeni akija huwani mwenza wa biashara na maongezi yanakuwa sebuleni. Hata ukifa watoto wanawajua wenza wako wa biashara na pia wanakua na dhana hiyo akilini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo suala ni muhim sana kwa kizaz cha sasa
Mimi mpaka sasa natamani kufungua biashara sema nakosa mtu wa kmuamini na kumuweka(kiufupi nataka mtu mwenye spirit km yangu ya utaftaji hela)

So nlchokifanya nimeanza kmuandaa anko wangu wa kike....yupo form 3

Namuita mida ya jioni tunakaa wote ofisin....wateja wakiwa wengi hua namuambia awasikilize wengne wkt mimi nahudumia wengne

Namuuliza bei ya vitu duka zima...!!namfundisha faida na hasara...!!jinsi ya kujua bei ya kuuza bidhaa mpk kuweka akiba

Nia yangu nataka mimi nkakae ofisi mpya yeye abaki hapa kwa sasa



Sent using Jamii Forums mobile app

UNAPIGWA SOON!!!
VERY SOON INDEED!!!

HUZIJUI AKILI ZA MABINTI WA DOT_COM WEWE!!!

LAZIMA ATAHONGA NJEMBA HELA ZA DUKANI!!!

Au mods mnasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom