Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mkuu usinitoneshe kidonda,Iringa maisha yako juu vibaya yaani nakumbuka kipindi nipo dar angalau maisha yalikuwa simple.Hapa iringa mchele kilo1=2000,cooking oil 1 litre=4000,sukari 1 kilo=2500,ndizi moja=200,parachichi dogo la kawaida=500,kuku jogoo mdogo mdogo=15000 n.k,yaani bora uniambie mkoa wa Mbeya hapo nitakuelewa.Muamba ngozi huvutia kwake! Iringa bomba na iko juu!!!!!!