jana kuna jamaa ameweka thread,mengi tu ameyasema na kuropoka kuhusu arusha.wadau naomba mnijuze wapi maisha ni rahisi? Ukiangalia dar,pwani,zanzibar,tanga,lindi,morogoro,mtwara n.k n.k ndo kuna vijiwe vingi na wachagua kazi wengi na wapenda umwinyi na starehe.hamuoni posho za wabunge dodoma zimepanda kutokana na kupanda gharama za maisha?
Nipo Chang'ombe dodoma. Wali nyama sh 250/=Dodoma buku tatu inatosha kuishi kwa siku
Kama unatafuta kazi hapo sijui, ila kama we ni hustler, njoo uswahilini tandika huku tule raha!! acha uoga, you can sell anything at anytime!! You can even keep some birds (if you are a pimp you will understand), msosi ni bei rahisi sana kama ni bachelor,Jana kuna jamaa ameweka thread,mengi tu ameyasema na kuropoka kuhusu Arusha.Wadau naomba mnijuze wapi maisha ni rahisi? Ukiangalia Dar,Pwani,Zanzibar,Tanga,Lindi,Morogoro,Mtwara n.k n.k ndo kuna vijiwe vingi na wachagua kazi wengi na wapenda umwinyi na starehe.Hamuoni posho za wabunge dodoma zimepanda kutokana na kupanda gharama za maisha?
Dodoma buku tatu inatosha kuishi kwa siku
Nipo Chang'ombe dodoma. Wali nyama sh 250/=
Chai na chapati sh 150/=! Ukiwa na buku siku inaisha!
Mafuta ya kupikia?>Viungo kama nyanya na vitunguu?>Asubuhi chai hainyweki?Kigoma, Mgebuka buku, kamemelo (Unga wa kupima) Jero, mkaa jero,viungo jero. jumla buku mbili na jero