Ni mkoa gani nchini wenye maeneo mazuri kwa vacation?

Nakadori

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
8,781
20,946
Wakuu habari zenu?

Hatimaye Mungu amenikumbuka.

Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.

Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.

Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.

Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).

Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.

Bajeti yangu haitazidi 1.5.
 
Nenda Mwanza kwa basi, fika mjini lala hotelini, next day zunguka mjini uone mji ulivyo, usiku tembelea sehemu za starehe kama malaika beach resort, bonasera, diamond na the cask, siku inayofuata nenda katembee kisiwa cha saa nane, ushinde huko, ufanye na utalii wa kuzunguka ziwa ikiwezakana spend usiku huko.

Baada ya hapo funga safari mpaka Bunda kwenye geti la Serengeti nauli ni elfu 8 kwa basi mwendo masaa mawili na nusu.. Ukiingia Hifadhi ya Serengeti utafanya utalii humo siku unazotaka,

Mwisho kabisa kama utaweza toka humo ukafunga safari mpaka sirari mpakani mwa Kenya sio mbali kabisa, process vibali then vuka border kwenda Nairobi ukaspend hata usiku mmoja.
 
Mkuu kwa Mwanza ni chaguo sahihi, kule kuna hotels hadi za 30000/ na kupanda.

Sehemu nyingi chakula cha gharama hakizidi 15000/ kuna maeneo mazuri ya kutembelea.
 
Mkuu, achana na Mwanza

Kwa road trip; kama una paspoort itafute SA-south Africa. Nenda kule na huduma za hoteli ni za kawaida tu” naimani utaenjoy mji mzuri sehemu za utalii “” na pia ukiona wageni wanavyonyanyaswa aisee utajifunza mengi sana ukirudi TZ-Tanzania utafunguka sana ki-uelewa tofauti na hapo hiyo 1.5 inatosha kabsa
 
Mwanza ni sehemu sahihi, ukifika ulizia Tunza beach malazi ni elfu 80 hutojutia
 
Nenda Mwanza kwa basi, fika mjini lala hotelini, next day zunguka mjini uone mji ulivyo, usiku tembelea sehemu za starehe kama malaika beach resort, bonasera, diamond na the cask, siku inayofuata nenda katembee kisiwa cha saa nane, ushinde huko, ufanye na utalii wa kuzunguka ziwa ikiwezakana spend usiku huko.

Baada ya hapo funga safari mpaka Bunda kwenye geti la Serengeti nauli ni elfu 8 kwa basi mwendo masaa mawili na nusu.. Ukiingia Hifadhi ya Serengeti utafanya utalii humo siku unazotaka,

Mwisho kabisa kama utaweza toka humo ukafunga safari mpaka sirari mpakani mwa Kenya sio mbali kabisa, process vibali then vuka border kwenda Nairobi ukaspend hata usiku mmoja.

Ushauri mzuri huu hapa
 
Mkuu, achana na Mwanza

Kwa road trip; kama una paspoort itafute SA-south Africa. Nenda kule na huduma za hoteli ni za kawaida tu” naimani utaenjoy mji mzuri sehemu za utalii “” na pia ukiona wageni wanavyonyanyaswa aisee utajifunza mengi sana ukirudi TZ-Tanzania itafunguka sana ki-uelewa tofauti na hapo hiyo 1.5 inatosha kabsa
Hiboooo mkuu naona unampeleka mwenzetu beach ,1.5M(tshs)ni kama 10k in rands, hii hela ni nauli tu ya kwenda na kurudi, covid certifucate na rushwa kwenye borders na check points, mkuu mtoa mada utalii wa ndani ni mzuri tu, so far Mwanza imekua ni chaguo la wengi, nami nikipata uwezo will visit Mwanza, and let's clear here uongo sio mzuri,SA ni nchi kama yetu na ina immigrations laws zake why hatutaki kuziheshimu?why unaruka border ?hata sisi hapa ukiingia kwa njia za panya tunakukamata na mahakama utakumbana nayo, SA ni haki yao kupambana na all illegal immigrants, ukitaka Kuja kwangu pitiable mlangoni sio dirishani, nitakupiga risasi.
 
Nenda Mwanza kwa basi, fika mjini lala hotelini, next day zunguka mjini uone mji ulivyo, usiku tembelea sehemu za starehe kama malaika beach resort, bonasera, diamond na the cask, siku inayofuata nenda katembee kisiwa cha saa nane, ushinde huko, ufanye na utalii wa kuzunguka ziwa ikiwezakana spend usiku huko.

Baada ya hapo funga safari mpaka Bunda kwenye geti la Serengeti nauli ni elfu 8 kwa basi mwendo masaa mawili na nusu.. Ukiingia Hifadhi ya Serengeti utafanya utalii humo siku unazotaka,

Mwisho kabisa kama utaweza toka humo ukafunga safari mpaka sirari mpakani mwa Kenya sio mbali kabisa, process vibali then vuka border kwenda Nairobi ukaspend hata usiku mmoja.
Asante sana mkuu nadhan hii ni nzuri sana
 
Mkuu kwa Mwanza ni chaguo sahihi, kule kuna hotels hadi za 30000/ na kupanda.

Sehemu nyingi chakula cha gharama hakizidi 15000/ kuna maeneo mazuri ya kutembelea.
Asante mkuu
Kwakuwa nimeamua kujipa amani nimeamua kuanza na hotel ya 50k kuendelea
 
Mkuu, achana na Mwanza

Kwa road trip; kama una paspoort itafute SA-south Africa. Nenda kule na huduma za hoteli ni za kawaida tu” naimani utaenjoy mji mzuri sehemu za utalii “” na pia ukiona wageni wanavyonyanyaswa aisee utajifunza mengi sana ukirudi TZ-Tanzania itafunguka sana ki-uelewa tofauti na hapo hiyo 1.5 inatosha kabsa
South sijapapenda sana mkuu sijui kwakuwa nshawahi zuru vinchi viwili vitatu vya mabeberu... safari hii ni tanzania kwanza
Asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom