Ni mikoa ipi hadi sasa ni ngome ya CCM??

Ni mikoa ipi hadi sasa ni ngome ya CCM??

Ngome imebaki mkoa wa Mjini magharibi kule Unguja
 
Kwenye hiyo red lazima mshinde.Karne hii unawaza ushirikina?
Si ngome ya CCM sema ya Magufuli.Mıkoa yote ya Ugunja, Ruvuma,Lindi,Mtwara,Pwani,Tanga.Mingne ni Njombe,Iringa,Moro,Dodoma,Singda,Taboro,Rukwa,Katavi,Sımiyu,Shy,Geita,Rocky City,Mara na Kagera.Ukawa hata waroge vp hawawezi kumshnda Magu mikoa hiyo.
 
HAKUNA HATA MKOA MMOJA CCM itashindaaa...hakuna.. hili na uhakika wa 100%....

CCM ilikuwa inategemea MOROGORO, DODOMA, SINGIDA, RUVUMA, TANGA...

Ambapo mikoa hiyo yoooote imeenda UPINZANI na DALILI ZIKO WAZI..... hakuna jinsi CCM ishinde hata mkoa moja tena....

Alafu LOWASSA, UKAWA walivyo na super brain, wakanza safisha safisha ktk MIKOA HIYO... na wameshaua ngome zote za CCM... yaani kampeni zao wamejikita ktk mikoa hiyo... na wameshashinda huko...!!!

Wakati CCM wameshindwa bado kwenda ktk NGOME ZA UKAWA... wamebakia ktk hiyo hiyo mikoa walio amini kupiga kampeni... na ISHAENDA UPINZANI...!!!

CCM iko ICU...and Oxygen machine is SWITCHED OFF...!!!!
 
kiukweli wamebakiwa na nguvu za mdomo tu na ubovu wa akili wa kuzusha propaganda zisizofanya kazi hawana ngome yoyote wameishiwa wamechakaaa.
 
Nitajie mbunge mmoja ambae alitoa hela za mfukoni mwake akajenga barabara angalau kilometa tano za lami. Nitajie Mbunge ambaye ametoa hela akaleta Umeme kwa hela za mfukoni mwake. Mbunge kazi yake kubwa ni kutoa kero za wapiga kura, wajibu wa huduma kwa wananchi ni Serikali kuu au zile za mitaa. Kikatiba, kazi za mbunge siyo kuisifia serikali, bali ni kuishauri na kuisimamia serikali.!

Uko sahihi kabisa mkuu badhi ya watu hudhani mbunge ndo wakuleta maji kujenga barabara kamani hivyo kazi za serikali ni zipi?nashukuru upinzani kwa kuuwamsha watu toka usingizini
 
Endeleeni tu kijidanganya kuongoza kwa maneno kwa wabunge wa upinzani watakaopita mwaka huu wasipojirekebisha wananchi wakawachoka ndo watakua wamejichimbia kaburi wenyewe. Ishu sio tu kuoa hela kufanya mambo makubwa hata madogomadogo tu yanatosha mbona wapo kama Filikunjombe wanasaidia kwa sehemu kubwa tu wao kama wabunge.

Kilimanjaro wananchi wanachangia na kushiriki shughuli za maendeleo vizuri sana leo maeneo mengine ndo wasifanye chochocte wasuburi tu serikali nchi itaendelea lini?

twambie basi wabunge wa ccm ambao wamefanya mabadiliko ktk majimbo yao kuwazidi wapinzani na wakawa na uhakika wa kurudi bungeni
 
Kwa sasa ni vigumu kutabiri subiri uchaguzi upite,
Kabla ya EL kuhama ilikuwa rahisi kuitaja lakini
kwa sasa hata unaowaona wamevalia sare karibia nusu ni UKAWA
wanaogopa kupoteza ajira wengine haki zao wamekaribia kustaafu,
Wengine wanaogopa ndoa kuvunjika hivyo wanalazimika kufuata mkumbo.
Hapo hujahesabia wachumia tumbo wanaofuatilia mlungula wa uchaguzi hawajibainishi ni chama gani.
tunasubiria sanduku liamue kesi hii.
 
Hadi mud huu ninaamini Ccm inashinda

Dodoma
Morogoro
Kigoma
Tabora
Ruvuma
Katavi
Geita
Simiyu
Unguja
Iringa
Lindi
Rukwa
Kagera
 
Hadi mud huu ninaamini Ccm inashinda

Dodoma
Morogoro
Kigoma
Tabora
Ruvuma
Katavi
Geita
Simiyu
Unguja
Iringa
Lindi
Rukwa
Kagera



You are sick...!!! or Brain tumor...or akili zako haziko kichwani... ziko kuleeee Ma CCM akili zao ziliko... mmezikalia...!!!
 
Et kagera muulize rais wako kilichompata 2010 kwa asira had meli aliyoaid akagaili ngojeni mwaka huu mtakoma na gamba lenu.
 
Ngome ya CCM ipo pwani tu, hawa sii tunawajuwa hawana elimu, uswahili umewajaa na awapendi kubadilika.
 
Back
Top Bottom