Ni mikoa ipi hadi sasa ni ngome ya CCM??

Ni mikoa ipi hadi sasa ni ngome ya CCM??

You are sick...!!! or Brain tumor...or akili zako haziko kichwani... ziko kuleeee Ma CCM akili zao ziliko... mmezikalia...!!!
Kaka urais wa kwenye mtandao mshapata. Ndo maana hata hotuba yenu mlisema itawekwa kwenye mtandao. Kanda ya ziwa, kati, kusini, mashariki na nyanda za juu 80% ni Magufuli. Ukawa ni kanda yenu ya kaskazini tuuu. Hatuchagui mwizi na kapi lililojichokea likaangukia chagadema chama cha mtei na mkwilima Mbowe. Ccm makini hata mtoto wa mwanzilishi makongoro alibwagwa maana wanachagua kwa sifa.
 
Chama kimebaki msoga tu..jk atakuwa annarithisha wajukuu..maana chato walishalikataa
 
Uloi nga mâché68;14042734 said:
Tanzania yote ni ngome ya CCM. Wenye akili timamu tutamchagua Dr John Magufuli





QUOTE=swissme;14042577]Msonga.

swissme
[/QUOTE]

akili timamu mmeazima kwa nani?
maana mmeiba pesa za walipakodi escrow.epa.melemeta,twiga

mpaka nembo za cdm mnaiba hizo akili timamu mnazitoa wapi?
 
Uloi nga mâché68;14042734 said:
Tanzania yote ni ngome ya CCM. Wenye akili timamu tutamchagua Dr John Magufuli






QUOTE=swissme;14042577]Msonga.

swissme
[/QUOTE]


Tanzania yote si ngome ya CCM. Wasiokuwa na akili timamu tu ndio watamchagua Dr. John Magufuli
 
Mimi nilikua naona dodoma, Morogoro, Tabora lakini Jamaa Edo a.k.a Lowass kaibomoa bomoa kwahiyo kazi ipo kwass.
 
Kaka urais wa kwenye mtandao mshapata. Ndo maana hata hotuba yenu mlisema itawekwa kwenye mtandao. Kanda ya ziwa, kati, kusini, mashariki na nyanda za juu 80% ni Magufuli. Ukawa ni kanda yenu ya kaskazini tuuu. Hatuchagui mwizi na kapi lililojichokea likaangukia chagadema chama cha mtei na mkwilima Mbowe. Ccm makini hata mtoto wa mwanzilishi makongoro alibwagwa maana wanachagua kwa sifa.

Ccm imechokwa hadi inatia huruma. Pita pale Kariakoo na vazi la CCM uone.
 
Huyu naona anakanda yaziwa yake iv mnapoambiwa mabadiliko hayakwepeki bdotu hamuelewi!!
 
Back
Top Bottom