Ni miezi mitatu toka Rais Samia ateue Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29, nini matarajio yako? Je, tunaelekea pazuri?

Ni miezi mitatu toka Rais Samia ateue Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29, nini matarajio yako? Je, tunaelekea pazuri?

Wewe unamdanganya huyu kindevu Dr. Mwigulu Nchemba ajione yumo kumbe mweupe kabisa - Mpaka polisi wanaenda kutoa kero kwake, we kuweza? :BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:
sina haja ya kudanganya my lady,
mambo yote mbona yapo hadharani aise?

kazi ya serikali sikivu ya CCM inaonekana wazi wazi kwenye maisha ya wananachi kupitia utekelezaji wa ilani bora kabisa ya CCM inayosimamiwa na Dr.Samia Suluhu Hassan & Dr.Emmanuel Nchimbi pamoja na waziri mkuu Dr.Mwigulu Nchemba,

unless una chuki binafsi dhidi yao, then unaweza kuablind kisiasa hata ufikie mahali maendeleo yanayoonekana useme huyaoni. Na hiyo ni kawaida kwa baadhi ya binadamu ambapo hata mtoa hoja naona kama una hivyo vielement vya ubishi wa kupinga kilicho dhahiri.

Tuwapongeze na Tuwaombee viongozi wetu kwa Mungu waendelee kuchapa kazi ya maendeleo:BASED:
 
Ila Mkuu:KEKWlaugh::KEKWlaugh: nafikiria utakuwa unaungamamara ngapi kwa siku:BearLaugh::BearLaugh: hata Shetani mwenyewe anabaki mdomo wazi!
ni vizuri kuzingatia amri ya tatau ya kanisa katoliki takatifu la mitume na itakusaidia sana my lady,
nayo ni hii,

Ungama dhambi zako zote walau mara moja kila mwaka.​


hata hivyo,
ni muhimu kutambua kwamba kuongoza nchi sio kuongoza kanisa :BASED:

 
Hii ni kesi ngedere, kapewa nyani. Kesi inahusu wizi wa mahindi.
 
Upuuzi mtupu..' Nguvu iliyotumika ilikuwa sawa'..halafu unaiundia tume?!!
 
Wakuu,

Ni miezi mitatu sasa (siku 92 tukiwa precise) toka Samia afanye uteuzi wa Tume ya Kuchunguza 'matukio' ya Oktoba 29, 2025, akisema hajui kwanini tuliandamana kugomea uchaguzi, wa kina nani waliua watu vile na kwa amri ya nani :BearLaugh::BearLaugh: Dunia ina mambo, anyhu....

Hii inamaanisha wakati wowote kutoka sasa tume itakuja mbele kutueleza nini kilitokea pamoja na kutoa mapendekezo yao, ili "KULIPONYA TAIFA".

Toka uchaguzi ufanyike, kesi ya Lissu inayoendelea, viongozi 'wa mchongo' kuapishwa, comments za Samia na viongozi wengine juu ya hali ya usalama nchini, mashambulizi kwa viongozi wa dini hasa Wakatoliki, figisu zinazoendelea kwa CHADEMA, matukio ya polisi kuendelea kukamata watu bila kufuata taratibu na sheria, viongozi kusema "Maridhiano ni Hiyari" huku wakisema hatuwezi kusonga mbele kuridhiana, "WHO ARE YOU"......

Unadhani Tume ya Chande itakuja na matokeo gani? Kutakuwa na mwangaza wa maridhiano na kuponya majeraha ya Watanganyika kutokana na mauaji ya raia? Usalama utarejea nchini hata waliokimbia makazi yao kwa kuhofia usalama wao waweze kurejea nchini bila wasiwasi? Vipi kuhusu waliokamatwa mpaka sasa wakishikiliwa kwa kosa la "Uchochezi"? Viongozi watapata legitimacy ya kuendelea kutawala? Polisi kukamata raia ovyo bila kufuata utaratibu itakoma? Lissu ataachiliwa huru na CHADEMA kuendelea na shughuli zao? Kubwa zaidi Polisi WALIOUA raia watawajibishwa?

Nini matarajio yako juu ya Tume hii ya Uchunguzi?
Yote yanayofanywa kuchenga uanzishwaji wa mchakato wa katiba mpya,na mbini hii ni Ile ya mbuni kuzikwa kichawa kwa mchanga.
 
Kwanini upinge uchaguzi? The best way ni wewe kutoshiriki uchaguzi. Kupinga uchaguzi kwa njia isiyo ya Mahakama ni uhaini
Mengine hutoea kwa sababu,mahakama ya simu mmoja,kwa mujibu wa nukuu ya ya wanapiga simu mmoja ya nini kifanyike huko na nini kisiifanyie huko!
 
Wakuu,

Ni miezi mitatu sasa (siku 92 tukiwa precise) toka Samia afanye uteuzi wa Tume ya Kuchunguza 'matukio' ya Oktoba 29, 2025, akisema hajui kwanini tuliandamana kugomea uchaguzi, wa kina nani waliua watu vile na kwa amri ya nani :BearLaugh::BearLaugh: Dunia ina mambo, anyhu....

Hii inamaanisha wakati wowote kutoka sasa tume itakuja mbele kutueleza nini kilitokea pamoja na kutoa mapendekezo yao, ili "KULIPONYA TAIFA".

Toka uchaguzi ufanyike, kesi ya Lissu inayoendelea, viongozi 'wa mchongo' kuapishwa, comments za Samia na viongozi wengine juu ya hali ya usalama nchini, mashambulizi kwa viongozi wa dini hasa Wakatoliki, figisu zinazoendelea kwa CHADEMA, matukio ya polisi kuendelea kukamata watu bila kufuata taratibu na sheria, viongozi kusema "Maridhiano ni Hiyari" huku wakisema hatuwezi kusonga mbele kuridhiana, "WHO ARE YOU"......

Unadhani Tume ya Chande itakuja na matokeo gani? Kutakuwa na mwangaza wa maridhiano na kuponya majeraha ya Watanganyika kutokana na mauaji ya raia? Usalama utarejea nchini hata waliokimbia makazi yao kwa kuhofia usalama wao waweze kurejea nchini bila wasiwasi? Vipi kuhusu waliokamatwa mpaka sasa wakishikiliwa kwa kosa la "Uchochezi"? Viongozi watapata legitimacy ya kuendelea kutawala? Polisi kukamata raia ovyo bila kufuata utaratibu itakoma? Lissu ataachiliwa huru na CHADEMA kuendelea na shughuli zao? Kubwa zaidi Polisi WALIOUA raia watawajibishwa?

Nini matarajio yako juu ya Tume hii ya Uchunguzi?
Tume hizi za mchongo zisizokuwa za kisheria hazihusiani ama kuwanufaisha wananchi, tume hiyo kaiunda Rais na itamnufaisha yeye.

Kama ripoti itaegemea kumbeba Rais, itasomwa na kama itaegemea kuwabeba raia, itawekwa kapuni kwa sababu haimlazimishi Rais kisheria kuisoma.

Rejea tume mbali mbali zisizokuwa za kijaji zilizoundwa huko nyuma na kuishia kuozea makabatini bila kusomwa hadharani.
 
Wananchi waliouawa hawakuwa na hatia, wameua vijana wapo nyumbani na familia zao ili kuleta tu taharuki na uoga kwa Watanzania ambao walipinga uchaguzi.

Na hio imekuwa tabia ya muda mrefu, Mzee Ali Kibao alifanya ugaidi gani hadi kumuua na kumtoboa macho?
Polepole alifanya ugaidi gani wa kuharibu miundombinu?


Sativa alifanya ugaidi gani?

Yule dogo aliyechora picha ya rais na kuichoma alifanya ugaidi gani?

Wale wanaharakati kutoka Kenya na Uganda walifanya ugaidi gani?

Mdude Nyagali alifanya ugaidi gani?

The list goes on, kabla ya 29 OCT wameuawa Watanzania mamia, je ndivyo katiba yetu inavyosema kwamba ukikosolewa umvizie mtu na kumuaa kikatili?

Hapo tukisema CCM ni genge la matapeli na wauaji kama vikundi vya kigaidi unakosea? ukisema CCM ni kama anti baraka unakosea?

Nini maana ya kuwepo kwa sheria, nini maana ya mahakama?
... 'Nini maana ya kuwepo kwa sheria, nini maana ya mahakama?'...

Mantiki hii inaifuta kauli yako ya kusema: 'waliouliwa majumbani'?

Maana yake ni kwamba hata waandamanaji na wote waliofanya uharibifu wa mali hawakustahili kuuawa bali kufikishwa mahakamani kwa mujibu wa sheria.
 
... 'Nini maana ya kuwepo kwa sheria, nini maana ya mahakama?'...

Mantiki hii inaifuta kauli yako ya kusema: 'waliouliwa majumbani'?

Maana yake ni kwamba hata waandamanaji na wote waliofanya uharibifu wa mali hawakustahili kuuawa bali kufikishwa mahakamani kwa mujibu wa sheria.
Unawakamataje wale MAHAYAWANI na ile kasi waliyokuwa nayo ya kuchoma na kuteketeza mali ?
 
umefika ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala gentleman,
pumzika tu na itapendeza sana, :1Head:
Kilichobaki bongo ni 👇👇👇ili ule kiulaini!!
 

Attachments

  • FB_IMG_17715241993850539.jpg
    FB_IMG_17715241993850539.jpg
    94.8 KB · Views: 5
Kilichobaki bongo ni 👇👇👇ili ule kiulaini!!
kibaraka analiwa na mabwenyenye ya magharibi ndipo nae anakula kiulaini wisky na nyama za bure, dah?

sijui mamluki wake mnakulaje aise gentleman, maana wengi wana mihemko nonsense sana?
halafu mihemko hiyo ni kwasababu ya ugumu wa maisha, uvivu au unyonge wa kiuchumi unaowakumba? :1Head:
 
Kama taifa tupo pazuri, tunafanya vizuri sana na tunaelekea pazuri zaidi kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Tume ya jaji Chande inaelekea kuhitimisha kazi yao muhimu zaidi waliopewa kuifanya na mkuu wa nchi.

Ni muhimu sana kama taifa,
kuungana pamoja kuiunga mkono serikali sikivu ya CCM na kwakweli kuwapongeza na kuwaombea kwa Mungu viongozi wetu wote wa kitaifa, kwa ile kazi nzuri sana wanafanya kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

well done Dr.Samia Suluhu Hassan & Dr.EmmANUEL Nchimbi, well done PM Dr.Mwigulu Nchemba:KasugaYeah:
Pole pole alikuwa chawa zaidi yako
Leo Yuko wapi

Usikubali kutumia kama ule Mpira wa Malaya
 
Pole pole alikuwa chawa zaidi yako
Leo Yuko wapi

Usikubali kutumia kama ule Mpira wa Malaya
usinifananisha na malofa kama wewe na huyo uliemtaja tafadhali gentleman,

huna pweint, kaa kimya acha kumbwelambwela na nonsense hapa :1Head:
 
Wakuu,

Ni miezi mitatu sasa (siku 92 tukiwa precise) toka Samia afanye uteuzi wa Tume ya Kuchunguza 'matukio' ya Oktoba 29, 2025, akisema hajui kwanini tuliandamana kugomea uchaguzi, wa kina nani waliua watu vile na kwa amri ya nani :BearLaugh::BearLaugh: Dunia ina mambo, anyhu....

Hii inamaanisha wakati wowote kutoka sasa tume itakuja mbele kutueleza nini kilitokea pamoja na kutoa mapendekezo yao, ili "KULIPONYA TAIFA".

Toka uchaguzi ufanyike, kesi ya Lissu inayoendelea, viongozi 'wa mchongo' kuapishwa, comments za Samia na viongozi wengine juu ya hali ya usalama nchini, mashambulizi kwa viongozi wa dini hasa Wakatoliki, figisu zinazoendelea kwa CHADEMA, matukio ya polisi kuendelea kukamata watu bila kufuata taratibu na sheria, viongozi kusema "Maridhiano ni Hiyari" huku wakisema hatuwezi kusonga mbele kuridhiana, "WHO ARE YOU"......

Unadhani Tume ya Chande itakuja na matokeo gani? Kutakuwa na mwangaza wa maridhiano na kuponya majeraha ya Watanganyika kutokana na mauaji ya raia? Usalama utarejea nchini hata waliokimbia makazi yao kwa kuhofia usalama wao waweze kurejea nchini bila wasiwasi? Vipi kuhusu waliokamatwa mpaka sasa wakishikiliwa kwa kosa la "Uchochezi"? Viongozi watapata legitimacy ya kuendelea kutawala? Polisi kukamata raia ovyo bila kufuata utaratibu itakoma? Lissu ataachiliwa huru na CHADEMA kuendelea na shughuli zao? Kubwa zaidi Polisi WALIOUA raia watawajibishwa?

Nini matarajio yako juu ya Tume hii ya Uchunguzi?
Acha kupoteza Muda kusubiria uchunguzi wa manyani upelekwe Kwa Ngedere

Wasira ameshaeleza matokea ya tume
Na Samia naye kabla ya tume kuanza ameshawapa majibu

Acha kupoteza muda hapa
 
Back
Top Bottom