msukwa
Member
- Jul 19, 2011
- 33
- 4
Wana JF nisaidieni kwa hili....
Hivi karibuni nimeanza kazi baada ya kuhitimu chuo. Kipindi nikiwa nasoma nilikuwa sijihusishi na mambo ya mapenzi na wala nilikuwa sina mchumba kwa wakati huo. Hivi sasa ndo naanza maisha ila sijafahamu mazingira ambayo nikipitapita ntapata mchumba. Najua humu ndani kuna wanandoa, wenye wapenzi pamoja na wengine wenye uzoefu nadhani baadhi watakuwa walipitia huku. Jamani wana JF naombeni msaada wenu wa mawazo.
Hivi karibuni nimeanza kazi baada ya kuhitimu chuo. Kipindi nikiwa nasoma nilikuwa sijihusishi na mambo ya mapenzi na wala nilikuwa sina mchumba kwa wakati huo. Hivi sasa ndo naanza maisha ila sijafahamu mazingira ambayo nikipitapita ntapata mchumba. Najua humu ndani kuna wanandoa, wenye wapenzi pamoja na wengine wenye uzoefu nadhani baadhi watakuwa walipitia huku. Jamani wana JF naombeni msaada wenu wa mawazo.