Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Japo mrisho mpoto alikmbaga kwamba usimsimulie mtu Ndoto yako ya jana usiku lakini mi binafsi imenishinda imenibidi niisimulie tu,
Ni hivi Nimekuwa nikiota mara nyingi sana, ni ndoto inayojirudia mara kwa mara,
"Naota nikiwa mazingira ya shule ya sekondary nasoma tena ile shule niliyomalizia kabisa, lakini kila inapofikia kipindi cha karibu na kufanya mtihani wa Taifa Nacte, tusema labda wiki moja kabla huwa Najikuta hakuna chochote nilichogain darasani,
Yaani kuna baadhi ya masomo naona kabisa hakuna nilichosoma kila Nikishika daftari nakuta nina mengi ya kucover na muda wenyewe hautoshi basi nabaki kuchanganyikiwa, mpaka karibu na mtihani ila cha kushangaza siku zote hii ndoto huwa inaishia tu pale ninapokaribia kuingia kwenye chumba cha mtihani huku nikiwa na mawazo lukuki"
Je kuna yeyote mwenye kujua maana ya hii ndoto kweli? Anisaidie maana ni inakuja mara kwa mara mpaka nahisi kuna kitu naambiwa kupitia ndoto lakini napuuzia.
Na kuna Ndoto nyingine nayo kama hii ya shule nayo inanijia mara kwa mara ni kama zinapokezana Ndoto yenyewe ni kwamba,
" huwa Naota niko darasani kidato cha nne tena shule ile ile niliyosoma na kumaliza, wanafunzi ni wale wale niliosoma na kumaliza nao.
Huwa najikuta niko darasani tunasoma let say mwalimu kaingia kafundisha na kuondoka lakini ghafra tu nakuwa kama nimefumba macho na kufumbua nakuta darasa jeupe pee halina mwanafunzi ata mmoja,ata yule rafiki niliekuwa nakuwa nae kila sehemu nae hayupo.
Nakuwa mwenyewe naangaika kuita majina, mara huyu mara yule basi ile kutokuwaona nashikwa na huzuni na kuanza kulia nahisi kama wamenikimbia na ni vipi naweza kukutana nao tena, kuna wakati nililia tena kwa kwikwi kiasi cha kuamshwa na manzi flani nilikuwa nae siku ile na kuniuliza mbona nalia usingizini" ni kweli huwa napata hisia za ajabu ata kwenye maisha ya kawaida baada ya hii nahisi kama nimetengwa na niko mpweke peke yangu.
Mwenye kujua maana ya hii ndoto pia naomba anifafanulie kwa kweli inanitesa pia tena sana.
Najua kuna watu wenye hii taaluma.
Cc Zero IQ
Ni hivi Nimekuwa nikiota mara nyingi sana, ni ndoto inayojirudia mara kwa mara,
"Naota nikiwa mazingira ya shule ya sekondary nasoma tena ile shule niliyomalizia kabisa, lakini kila inapofikia kipindi cha karibu na kufanya mtihani wa Taifa Nacte, tusema labda wiki moja kabla huwa Najikuta hakuna chochote nilichogain darasani,
Yaani kuna baadhi ya masomo naona kabisa hakuna nilichosoma kila Nikishika daftari nakuta nina mengi ya kucover na muda wenyewe hautoshi basi nabaki kuchanganyikiwa, mpaka karibu na mtihani ila cha kushangaza siku zote hii ndoto huwa inaishia tu pale ninapokaribia kuingia kwenye chumba cha mtihani huku nikiwa na mawazo lukuki"
Je kuna yeyote mwenye kujua maana ya hii ndoto kweli? Anisaidie maana ni inakuja mara kwa mara mpaka nahisi kuna kitu naambiwa kupitia ndoto lakini napuuzia.
Na kuna Ndoto nyingine nayo kama hii ya shule nayo inanijia mara kwa mara ni kama zinapokezana Ndoto yenyewe ni kwamba,
" huwa Naota niko darasani kidato cha nne tena shule ile ile niliyosoma na kumaliza, wanafunzi ni wale wale niliosoma na kumaliza nao.
Huwa najikuta niko darasani tunasoma let say mwalimu kaingia kafundisha na kuondoka lakini ghafra tu nakuwa kama nimefumba macho na kufumbua nakuta darasa jeupe pee halina mwanafunzi ata mmoja,ata yule rafiki niliekuwa nakuwa nae kila sehemu nae hayupo.
Nakuwa mwenyewe naangaika kuita majina, mara huyu mara yule basi ile kutokuwaona nashikwa na huzuni na kuanza kulia nahisi kama wamenikimbia na ni vipi naweza kukutana nao tena, kuna wakati nililia tena kwa kwikwi kiasi cha kuamshwa na manzi flani nilikuwa nae siku ile na kuniuliza mbona nalia usingizini" ni kweli huwa napata hisia za ajabu ata kwenye maisha ya kawaida baada ya hii nahisi kama nimetengwa na niko mpweke peke yangu.
Mwenye kujua maana ya hii ndoto pia naomba anifafanulie kwa kweli inanitesa pia tena sana.
Najua kuna watu wenye hii taaluma.
Cc Zero IQ