vipanda thamani
JF-Expert Member
- Jul 7, 2022
- 567
- 894
Kuna hilo jambo kwa sasa wengi wanaona la kawaida tu lkn si la kawaida kiivyo ni mpango wa kudhoofisha ukristo, kuna wadada wengi kwa sasa wakristo kuolewa na wakaka ambao si wakristo wengi wanafikiri ni mapenzi tu ya kawaida la hasha kuna mpango maalum wa kudhoofisha ukristo hawa wadada wakiolewa huzaa watoto ambao si wakristo hata vijana wa kiume ukiingia kwa binti ambaye si mkristo bas jua watoto wako hawatakuwa wakristo watahamia kwa mama hyo utake ama usitake hata kama hutaki mzee utasomewa wewe mwenyewe utakubali wadada wakristo nawaonyq sana msione kijana asiye mkristo anataka kukuoa kisa ana vipesa vyake ukashawishika na nguvu ya pesa umepotea na utajuta mbele ya safari,mwanzo sikujua jambo hili liko hivi nawaonya wadada wakristo acheni tamaa ya fedha,biblia imeonya sana usifungiwe nira na asiyeamini shetani yuko kazini kuupoteza ukristo kuweni makini.