Ni mapenzi tuu, sio limbwata

Ni mapenzi tuu, sio limbwata

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,458
Reaction score
857,742
attachment.php
 

Attachments

  • 1414087933978.jpg
    1414087933978.jpg
    28.5 KB · Views: 1,874
Nazi inatoka lainiiii alafu hata kibao hakifanyi kelele ukiona hivo ujue huyo ndio mkunaji nazi wa ukweli

Hahahahaaaa ila hajazingatia afya kifua kiko wazi na vitu vimetapakaa hovyo
 
ngoja nikumbuke kama nishawahi kukuna nazi
 
Huyu jamaa atakuwa ni mtaalamu wa kukuna na sehemu nyingine maana yataka ujasiri kukaa na kufanya kazi hii hasa kwa sisi waafrika ambao kazi kama hizi hufanywa na wanawake.
 
Jamaa ni mpishi huyu, mkewe amejifungua muda mfupi Sasa anamsaidia, anangalia beseni jipya la mtoto...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom