Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 792
- 405
Ubwabwawa kushiba huonekana kwenye sahanWw n kima
Ubwabwawa kushiba huonekana kwenye sahanWw n kima
Usisahau kuwa na Mama anamuunga mkono au niseme anaig'arisha sana Zanzibar. Si umesikia kero zaidi ya 10 zimepata ufumbuzi ndani ya muda mfupiVipi kuhusu bei ya mbolea, bei ya Petrol?
Unajua Rais wa Zanzibar amefanya mengi kwa muda mfupi. Maelewano na Cuf, kaiunganisha Zanzibar. Ana sera zinazoeleweka (Blue Economy) mikakati ya ukweli kuwavutia wawekezaji na Wazanzibari diaspora na kuweka mazingira mazuri wafanyabiashara, utalii, kilimo cha kisasa, miundombinu, utalii.
Mchapa kazi mwenye maono, malengo,dira, uthubutu na kasi. Watu wanawajibishwa wasipowajibika.
Matokeo yanaonekana wazi.
Lakini Huku bara dah?
Shangwe la wakulima wa mazao mbalimbali baada ya bei kupaa ni kwa mama tu.Hayo ya ujinga wa kina Mbowe bakini nayo nyinyi washikiwa akili.ACHEN KUMDEKEZA
MPE MUDA MPE MUDA NN???
HUYO NI MTI MZIMA ANA AKILI TIMAMU.
HAFAI, HAFAI NA HAJAWAHI KUFAA KUA RAIS.
2025, VYOMBO VYA DOLA, KAMA MMESHINDWA SANA KUACHA WANANCHI WACHAGUE, BASI MSITULETEE MTU WA AINA HII KUPITIA CCM.
Usisahau kuwa na Mama anamuunga mkono au niseme anaig'arisha sana Zanzibar. Si umesikia kero zaidi ya 10 zimepata ufumbuzi ndani ya muda mfupi
Mipango hipi Comrade??Tusubiri japo huu mwaka uishe ndipo tutoe tathimini zetu maana sio sawa kuanza kumlaumu kabla hata mipango yake hajaanza kuitekeleza
Nianze na suala la kukamatwa kwa kiongozi wa upinzani bw. Freeman Aikael mbowe
kukamatwa kwa kiongozi huyo wa upinzani kwa tafsiri ya kisiasa inaweza kuonekana ni agizo kutoka juu ili kudhoofisha upinzani au kukwamisha mapambano ya kudai katiba mpya.
Lakini ukweli ni kuwa kukamatwa kwa mbowe ni uamzi wa jeshi la polisi chini ya IGP sirro ndio maana kwenye hotuba ya juzi mheshimiwa Rais alimsisitiza sana pamoja na mifumo ya utoaji haki yaani 'mahakama' na 'DPP' kufuta kesi na mashauri yote ambayo hayana ushahidi wa kutosha kwani haya mambo yote kwa ujumla wake yanaidhalilisha serikali na kumchafua Rais na kwakuwa jambo lenyewe limeshafika mahakamani, Rais hawezi kuliingilia kwahiyo tuiache mahakama ifanye kazi yake na haki itatendeka.
Suala la kodi ya majengo
kodi ya majengo huwa ipo wala haijaanzishwa na mheshimiwa Samia. Kilichobadilika ni namna tu ya kufanya malipo. kwamba badala ya kulipa kwa mkono 'cash' kwa sasa tunailipa kidigitali kwa mfumo wa LUKU. Na, huu mfumo wa LUKU ni mzuri kwa sababu unasaidia kupunguzia wananchi mzigo kwamba badala ya kulipa 12, 000 au 60, 000 kwa mkupuo kwa sasa tuna lipa kwa kukatwa kidogo kidogo kwa mwezi. Pia mfumo huu unasaidia kupunguza hadha ya watu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisi za TRA kufanya malipo. Vilevile unasaidia kudhibiti ukwepaji kodi kwa watu ambao sio waaminifu na wazalendo.
Tozo ya miamala ya simu
Mheshimiwa Rais anajua kazi nzito iliyoko mbele yake. Anajua kuna miradi mikubwa iliyoanzishwa inahitaji kuendelezwa, anajua watumishi wa umma wamenyimwa haki yao ya kupandishiwa mishahara kwa kipindi kirefu, anajua kuna changamoto katika huduma za afya na elimu, anajua kuna changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira kwa vijana. Lakini changamoto zote hizi atazitatuaje bila ya kuwa na pesa?
Ndio maana kwa mapenzi mema, mheshimiwa Rais pamoja na serikali yake wakaamua kuanzisha kodi ya kizalendo 'solidarity fund' kupitia miamala ya simu ili pesa itakayopatikana ikasaidie kutatua changamoto hizo lakini bado watu wanalaumu? HAPANA tumpeni muda Rais afanye kazi na matokeo tutayaona.
Hana ubavu huo. Hao ndiyo wanamfanya aendelee kubakia madarakani. Akiwagusa itakula kwakeNamuelewa sana MAMA, ila anahitaji kufumua safu ya juu ya uongozi kwa baadhi ya vyombo vyetu vya ulinzi...wanamuangusha na hajui
Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu sana.Nianze na suala la kukamatwa kwa kiongozi wa upinzani bw. Freeman Aikael mbowe
kukamatwa kwa kiongozi huyo wa upinzani kwa tafsiri ya kisiasa inaweza kuonekana ni agizo kutoka juu ili kudhoofisha upinzani au kukwamisha mapambano ya kudai katiba mpya.
Lakini ukweli ni kuwa kukamatwa kwa mbowe ni uamzi wa jeshi la polisi chini ya IGP sirro ndio maana kwenye hotuba ya juzi mheshimiwa Rais alimsisitiza sana pamoja na mifumo ya utoaji haki yaani 'mahakama' na 'DPP' kufuta kesi na mashauri yote ambayo hayana ushahidi wa kutosha kwani haya mambo yote kwa ujumla wake yanaidhalilisha serikali na kumchafua Rais na kwakuwa jambo lenyewe limeshafika mahakamani, Rais hawezi kuliingilia kwahiyo tuiache mahakama ifanye kazi yake na haki itatendeka.
Suala la kodi ya majengo
kodi ya majengo huwa ipo wala haijaanzishwa na mheshimiwa Samia. Kilichobadilika ni namna tu ya kufanya malipo. kwamba badala ya kulipa kwa mkono 'cash' kwa sasa tunailipa kidigitali kwa mfumo wa LUKU. Na, huu mfumo wa LUKU ni mzuri kwa sababu unasaidia kupunguzia wananchi mzigo kwamba badala ya kulipa 12, 000 au 60, 000 kwa mkupuo kwa sasa tuna lipa kwa kukatwa kidogo kidogo kwa mwezi. Pia mfumo huu unasaidia kupunguza hadha ya watu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisi za TRA kufanya malipo. Vilevile unasaidia kudhibiti ukwepaji kodi kwa watu ambao sio waaminifu na wazalendo.
Tozo ya miamala ya simu
Mheshimiwa Rais anajua kazi nzito iliyoko mbele yake. Anajua kuna miradi mikubwa iliyoanzishwa inahitaji kuendelezwa, anajua watumishi wa umma wamenyimwa haki yao ya kupandishiwa mishahara kwa kipindi kirefu, anajua kuna changamoto katika huduma za afya na elimu, anajua kuna changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira kwa vijana. Lakini changamoto zote hizi atazitatuaje bila ya kuwa na pesa?
Ndio maana kwa mapenzi mema, mheshimiwa Rais pamoja na serikali yake wakaamua kuanzisha kodi ya kizalendo 'solidarity fund' kupitia miamala ya simu ili pesa itakayopatikana ikasaidie kutatua changamoto hizo lakini bado watu wanalaumu? HAPANA tumpeni muda Rais afanye kazi na matokeo tutayaona.
Kuna msemo usemao "mvinyo mpwa kwenye chupa ya zamani"."New wine in old bottle".hicho ndiyo kinachoendelea awamu sita Hawa wasaidizi wa Rais ni vigegeu,bendera fuata upepo na hawana misimamo, watamuangusha. Mama awe mwangalifu Sana,hawamtakii mema.
Ambao wanakwamishw awaweke pembeni ili kazi iendelee.
Wanaotumia solar wanalipa kupitia benki au kwa njia ya mtandao kama m-pesa, tigo-pesa n.kKodi ya majengo imewalenga wanaotumia umeme kupitia TANESCO, je wale wanaotumia solar na wale wa karabai, vibatari, kandiri n.k. wanalipiaje majengo yao?
Bonge la pambafNianze na suala la kukamatwa kwa kiongozi wa upinzani bw. Freeman Aikael mbowe
kukamatwa kwa kiongozi huyo wa upinzani kwa tafsiri ya kisiasa inaweza kuonekana ni agizo kutoka juu ili kudhoofisha upinzani au kukwamisha mapambano ya kudai katiba mpya.
Lakini ukweli ni kuwa kukamatwa kwa mbowe ni uamzi wa jeshi la polisi chini ya IGP sirro ndio maana kwenye hotuba ya juzi mheshimiwa Rais alimsisitiza sana pamoja na mifumo ya utoaji haki yaani 'mahakama' na 'DPP' kufuta kesi na mashauri yote ambayo hayana ushahidi wa kutosha kwani haya mambo yote kwa ujumla wake yanaidhalilisha serikali na kumchafua Rais na kwakuwa jambo lenyewe limeshafika mahakamani, Rais hawezi kuliingilia kwahiyo tuiache mahakama ifanye kazi yake na haki itatendeka.
Suala la kodi ya majengo
kodi ya majengo huwa ipo wala haijaanzishwa na mheshimiwa Samia. Kilichobadilika ni namna tu ya kufanya malipo. kwamba badala ya kulipa kwa mkono 'cash' kwa sasa tunailipa kidigitali kwa mfumo wa LUKU. Na, huu mfumo wa LUKU ni mzuri kwa sababu unasaidia kupunguzia wananchi mzigo kwamba badala ya kulipa 12, 000 au 60, 000 kwa mkupuo kwa sasa tuna lipa kwa kukatwa kidogo kidogo kwa mwezi. Pia mfumo huu unasaidia kupunguza hadha ya watu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisi za TRA kufanya malipo. Vilevile unasaidia kudhibiti ukwepaji kodi kwa watu ambao sio waaminifu na wazalendo.
Tozo ya miamala ya simu
Mheshimiwa Rais anajua kazi nzito iliyoko mbele yake. Anajua kuna miradi mikubwa iliyoanzishwa inahitaji kuendelezwa, anajua watumishi wa umma wamenyimwa haki yao ya kupandishiwa mishahara kwa kipindi kirefu, anajua kuna changamoto katika huduma za afya na elimu, anajua kuna changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira kwa vijana. Lakini changamoto zote hizi atazitatuaje bila ya kuwa na pesa?
Ndio maana kwa mapenzi mema, mheshimiwa Rais pamoja na serikali yake wakaamua kuanzisha kodi ya kizalendo 'solidarity fund' kupitia miamala ya simu ili pesa itakayopatikana ikasaidie kutatua changamoto hizo lakini bado watu wanalaumu? HAPANA tumpeni muda Rais afanye kazi na matokeo tutayaona.
Kodi ya majengo imewalenga wanaotumia umeme kupitia TANESCO, je wale wanaotumia solar na wale wa karabai, vibatari, kandiri n.k. wanalipiaje majengo yao?