jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Duniani kote alipowekeza Dangote itokeapo sintofahamu Mzee Obasanjo huwa wa kwanza kwenda kwa wakuu wa nchi husika kwa kisingizio cha kuwatembelea kama mstaafu.
Ukiunganisha dot ni wazi unaweza kushabahiisha mfungamano wa wawili hao ndani ya ushirika wa Dangote Group.
Rejeeni hapo Tz kila uwapo mgogoro kukihusu kiwanda cha Dangote cement mzee mstaafu yule huja kwa haraka Tz na mara baada ya ujio wake huwa hazipiti siku nyingi Dangote naye hukutana na mamlaka za juu za Nchi yetu. INAFIKIRISHA!
Ni kweli haupo ushirika wa kibiashara baina ya wawili hao?
Ukiunganisha dot ni wazi unaweza kushabahiisha mfungamano wa wawili hao ndani ya ushirika wa Dangote Group.
Rejeeni hapo Tz kila uwapo mgogoro kukihusu kiwanda cha Dangote cement mzee mstaafu yule huja kwa haraka Tz na mara baada ya ujio wake huwa hazipiti siku nyingi Dangote naye hukutana na mamlaka za juu za Nchi yetu. INAFIKIRISHA!
Ni kweli haupo ushirika wa kibiashara baina ya wawili hao?