Mapema mwezi wa saba mwaka huu Rais Samia alimteua FRANK KANYUSI kuwa mtendaji mkuu wa RITA. ikumbukwe kwamba bwana huyu miaka ya nyuma alikuwa mtendaji mkuu wa BRELA. Kipindi ambacho BRELA ilikuwa inanuka rushwa, kipindi ambacho watu wengi walidhulumiwa kampuni au shares kwenye makampuni mbali mbali ikiwemo mimi na watu wenye fedha au vyeo.
KANYUSI alikuwa anakula dili na kuvuta hela kwa matajiri na viongozi wenye ushawishi then yeye anakuja kutoa maelekezo ya kukiuka sheria kwa watendaji wa chini yake. Kutokana na hili aliwasababishia matatizo wafanyakazi wake na wengine kupelekea kupewa kesi za uhujumu uchumi akiwemo NOEL SHANI aliyekuwa mwanasheria na msajili msaidizi wa BRELA. Baada ya uchafu mwingi BRELA mwaka 2018 aliyekuwa waziri wa viwanda na biashara alitengua nafasi yake ya utendaji mkuu wa BRELA, na kuhamishiwa kusoma magazeti ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mtwara mpaka pale alipoteuliwa mwaka huu kuwa Mtendaji mkuu wa RITA.
Uteuzi wake kuwa mtendaji mkuu wa RITA ulinishangaza sana iweje mtu aliyetolewa kwenye ofisi moja ya umma kwa sababu ya makando kando yake apewe tena nafasi kama hiyo kwenye ofisi nyingine ya Umma? Kwamba kati ya watanzania ziaid ya 60m hamna watu waadilifu wanaoweza kushika wadhifa huo isipokuwa FRANK KANYUSI?
Ninawasihi wafanyakazi wa RITA wawe makini na mtu huyu anayelindwa na mfumo kwamba maelekezo yeyote wanayopewa nae wahakikishe yanakuwa kwenye maandishi na wahifadhi kama ushahidi ili baadae yasije kuwakuta yaliyowakuta wenzao wa BRELA ambaao wengine walipelekwa mahakamani kwa kesi za ML na wengine wakifukuzwa kazi wakati huo yeye Kanyusi anapulizwa na viyoyozi kwenye ofisi nyingine za uma.
KANYUSI alikuwa anakula dili na kuvuta hela kwa matajiri na viongozi wenye ushawishi then yeye anakuja kutoa maelekezo ya kukiuka sheria kwa watendaji wa chini yake. Kutokana na hili aliwasababishia matatizo wafanyakazi wake na wengine kupelekea kupewa kesi za uhujumu uchumi akiwemo NOEL SHANI aliyekuwa mwanasheria na msajili msaidizi wa BRELA. Baada ya uchafu mwingi BRELA mwaka 2018 aliyekuwa waziri wa viwanda na biashara alitengua nafasi yake ya utendaji mkuu wa BRELA, na kuhamishiwa kusoma magazeti ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mtwara mpaka pale alipoteuliwa mwaka huu kuwa Mtendaji mkuu wa RITA.
Uteuzi wake kuwa mtendaji mkuu wa RITA ulinishangaza sana iweje mtu aliyetolewa kwenye ofisi moja ya umma kwa sababu ya makando kando yake apewe tena nafasi kama hiyo kwenye ofisi nyingine ya Umma? Kwamba kati ya watanzania ziaid ya 60m hamna watu waadilifu wanaoweza kushika wadhifa huo isipokuwa FRANK KANYUSI?
Ninawasihi wafanyakazi wa RITA wawe makini na mtu huyu anayelindwa na mfumo kwamba maelekezo yeyote wanayopewa nae wahakikishe yanakuwa kwenye maandishi na wahifadhi kama ushahidi ili baadae yasije kuwakuta yaliyowakuta wenzao wa BRELA ambaao wengine walipelekwa mahakamani kwa kesi za ML na wengine wakifukuzwa kazi wakati huo yeye Kanyusi anapulizwa na viyoyozi kwenye ofisi nyingine za uma.