GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,892
- 109,610
- Thread starter
- #21
Ok Mental Case.Utajua mwenyewe maana saiz umepanda cheo unaitwa popoma Mkuu 😁😁😁
Ok Mental Case.Utajua mwenyewe maana saiz umepanda cheo unaitwa popoma Mkuu 😁😁😁
Unauliza Kukata Viuno kwa Fally Ipupa?
Hivi Kwa akili ya kawaida tuu unadhani magufuli alikuwa akimshirikisha msaidizi wake mambo yake!?? Hebu shirikisha ubongo kidogo tuu!!!Kinachonishangaza kuna Mtu ndiyo alikuwa Msaidizi wake na hata 85% ya Maamuzi nae alihusika ila leo Magufuli hayuko tena nasi duniani amejitoa na sasa Kinafiki / Kiunafiki anataka Kuwadaa Watanzania Kuonyesha kuwa Yeye hakuwa Mtu mbaya.
Atabaki kuwa Rais wa sub standard kuwahi kutokea in Tanganyika history!! Kubalini kataeni!!Wanamsimanga sana MAGU Halafu kwa mambo ya kipumbavu pumbavu tu...
Hajasoma alama za nyakati.Sure
Hata roma
Nyimbo karibia yote anahangaika na marehemu
Miaka 6 bila nyongeza ya mishahara kila mwaka kama takwa la kisheria kwanza inabidi watumishi wadai malimbikizo ya miaka hiyo 6 ikibidi mali zake ziuzwe"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.
Chanzo: Mitandao ya Tanzania
Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.
Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.
Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.
Hovyoooooooo......!!!!!!
Tutaacha siku tukimuona Ben Saa nane akiwa hai."Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.
Chanzo: Mitandao ya Tanzania
Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.
Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.
Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.
Hovyoooooooo......!!!!!!
I am the stateUnauliza Kukata Viuno kwa Fally Ipupa?
Siku zote msaidizi anakubakiana na bosi wake kinafiki. Hata kama anajua analoamua bosi ni baya maana akibisha tu uteuzi unayeyuka. Hata Khrushev alikuwa msaidizi mwaninifu wa Stalin alipoimbia madarakani alimkosoa Stalin.Kinachonishangaza kuna Mtu ndiyo alikuwa Msaidizi wake na hata 85% ya Maamuzi nae alihusika ila leo Magufuli hayuko tena nasi duniani amejitoa na sasa Kinafiki / Kiunafiki anataka Kuwadaa Watanzania Kuonyesha kuwa Yeye hakuwa Mtu mbaya.
huo mshahara wa kila mwezi unaongezwa hapo nyumbania kwenu? hivi we unamfahamu hata mamako aliyekuzaa kwa huo upumbavu ulionao?"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.
Chanzo: Mitandao ya Tanzania
Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.
Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.
Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.
Hovyoooooooo......!!!!!!
chema chajiuza kibaya chajitembeza. Msiwalazimishe watanzania kukumbuka mateso waliyoyasahau. Yule alikuwa shetani hakuna anayemkumbuka msitulazimishe we kenge. km unampenda sana mfuate aliko au hujui njia ya kufika kwake tukuelekeze we nyau?"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.
Chanzo: Mitandao ya Tanzania
Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.
Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.
Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.
Hovyoooooooo......!!!!!!
Punguza makasiriko ndugu !!"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.
Chanzo: Mitandao ya Tanzania
Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.
Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.
Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.
Hovyoooooooo......!!!!!!