Ni lini tutaacha Kumsimanga Hayati Magufuli na kumuonesha kuwa hakuwa Rais mpenda Watanzania?

Wanamsimanga sana MAGU Halafu kwa mambo ya kipumbavu pumbavu tu...
 
sifa za watz 😀😀

kuna mtu alisifiwa kama Magufuli akiwa hai?
nyimbo na tunzi tuliimba sana kumsifia.

So usijali ni utamaduni wetu tu, si umeona asubuhi kwaya zilivyopamba kwa mashairi, ni nyimbo tu, by the way people are not serious😉😉
 
Kinachonishangaza kuna Mtu ndiyo alikuwa Msaidizi wake na hata 85% ya Maamuzi nae alihusika ila leo Magufuli hayuko tena nasi duniani amejitoa na sasa Kinafiki / Kiunafiki anataka Kuwadaa Watanzania Kuonyesha kuwa Yeye hakuwa Mtu mbaya.
Hivi Kwa akili ya kawaida tuu unadhani magufuli alikuwa akimshirikisha msaidizi wake mambo yake!?? Hebu shirikisha ubongo kidogo tuu!!!
Nakupa mfano mdogo Sana, Kumbuka wakati wa kumteua katibu kiongozi baada ya yule wa Mwanzo kufa unadhalini akimshirikisha msaidizi wake!?
 
Wanaolipwa humu JF Kumsimanga JPM,Siku wakiacha kulipwa masimango yataisha.

Hao wengine,ukifika uchaguzi ndiyo watajua ,kuwa walikosea Kumsimanga JPM.

Ujue wapiga kura JPM,walimuelewa sana
 
Habari za kuamka Mkuu,
Naungana na wewe kupinga Rais wa Sasa ambaye alikuwa msaidizi Mkuu wa Magufuli anapomnanga Kwa dhuluma mbalimbali alizowafanyia baadhi ya Watanzania. Lakini kama waliodhulumiwa wakisema wenyewe ni haki yao acha waseme. Magufuli kama ulivyosema naye kama binadamu alikuwa na madhaifu kama Mimi na wewe lakini ukweli usemwe alikuwa na madhaifu Makubwa wala si madogo kama wengine wanavyojaribu Kutuaminisha. Annual Increment iliyosemwa Jana ni haki iliyo kwenye mkataba wa kazi. Yaani ni kipengele katika Katiba ya Utumishi, lakini Kwa makusudi tu Katiba hiyo ilikanyagwa Kwa tamko la Mtu mmoja ambaye ya kwake haikupunguzwa hata senti. Bora hata ingekuwa hela kubwa basi, kinachoongelewa ni hela ndogo kiaasi kwamba kuna Watumishi Annual Increment ni 4,000 tu. Watu wamefanya kazi Miaka 6 hakuna kilichoonhezeka kwenye mshahara huku maisha yakiendelea kupanda. Tuwe wawazi, Magufuli aliwaonea Watumishi.
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
Miaka 6 bila nyongeza ya mishahara kila mwaka kama takwa la kisheria kwanza inabidi watumishi wadai malimbikizo ya miaka hiyo 6 ikibidi mali zake ziuzwe
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
Tutaacha siku tukimuona Ben Saa nane akiwa hai.
 
Ungejua hiyo increment inayozungumziwa ni kiasi gani wala usingehangaisha kichwa chako,na ipo kisheria ila mwendazake aliamua kuikanyaga kama alivyokanyaga sheria nyingi tu,..kashaenda yaliyobaki yanafanyika yanafanywa na walio hai nao watajiondokea acha stress mzee
 
Kinachonishangaza kuna Mtu ndiyo alikuwa Msaidizi wake na hata 85% ya Maamuzi nae alihusika ila leo Magufuli hayuko tena nasi duniani amejitoa na sasa Kinafiki / Kiunafiki anataka Kuwadaa Watanzania Kuonyesha kuwa Yeye hakuwa Mtu mbaya.
Siku zote msaidizi anakubakiana na bosi wake kinafiki. Hata kama anajua analoamua bosi ni baya maana akibisha tu uteuzi unayeyuka. Hata Khrushev alikuwa msaidizi mwaninifu wa Stalin alipoimbia madarakani alimkosoa Stalin.
Kwa hiyo sii ajabu kabisa maamuzi ya mtangulizi yakabadilishwa anapoongia msaidizi. Ndio yanapotokea Kwang'a Uhuru na Ruto.
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
huo mshahara wa kila mwezi unaongezwa hapo nyumbania kwenu? hivi we unamfahamu hata mamako aliyekuzaa kwa huo upumbavu ulionao?
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
chema chajiuza kibaya chajitembeza. Msiwalazimishe watanzania kukumbuka mateso waliyoyasahau. Yule alikuwa shetani hakuna anayemkumbuka msitulazimishe we kenge. km unampenda sana mfuate aliko au hujui njia ya kufika kwake tukuelekeze we nyau?
 
Magufuli anatembea na historia ya aliyoacha duniani!
Ukiacha wema utakumbukwa kwa wema, ukiacha ushetani utakumbukwa kwa ushetani!
Tuache matendo yajiuze na sio kulazimisha tofauti na matendo yake!
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
Punguza makasiriko ndugu !!
 
Back
Top Bottom