Ni lini Serikali itafikiria kuweka surveillance Technology Mtwara kukabiliana na hali tete ya Msumbiji?

Technology unayosemea wewe ya Camera sijui CCTV ni za kuzuia wezi na sio Wale waasi

Kinachotakiwa hapo ni Geospatial technology of which ni lazima uwe na satellite yako ili uweze ku cover maeneo ya waasi walipo of which ni ngumu sana

Huwezi fananisha mbinu walizotumia china na Tanzania watumie hivyo hivyo
 
Unajuaje kama havipo?

Mkuu mtaa gani huko mtwara una camera za barabarani za security au za facial recognition!!??


Najua labda hukuelewa!!lntafafanua
Survilance system
-ni mfumo wa utambuzi wa watu ,mgari au vyovyote vinavyootoka na kuingia ua kupita barabaranii au mtaaani

Unajumuisha computers ammbazo zinaunganishwa naa camera za kutambua sura tofauti tofaut zikilinganisha na data base iliyopo
-hiyo inamaana kama kuna muhalifu
Ni rahisi kumkamata kama yupo mitaa hiyo zitaonesha akitembelea sokoni,mtaani au barabarani

—-so huwezi fichama kwene huu mfumo
 
Mkuu hiyo ni mbinu inayotumiwa, huwa hatuna utaratibu wa kuonesha namna ambavyo tuna advanced equipments lakini hii haimaanishi kwamba hatuna vipo sana. Lakini kama nilivyotangulia kusema kuwa ni moja tu kati mbinu tunayoitumia ili kumuweka adui kwenye giza anapotaka kutufanyia ubaya...
Hata mabeberu hawaonyeshi sio? 😂 😂 😂
 
Halafu wakawaamini wazungu wawasaidie kupambana !!

Hawajiulizi tangu somalia ianze kusaidiwa na USA je al shabaab wameisha??

Tangu france ianze kuisaidia mali,bukina faso,niger AL QAIDA wameisha??

Tangu NIGERIA ianze kusaidiwa na western je boko haramu wamewaweza???


Kuna shida pahala kwenye kichwa cha muafrica
Mkuu sijui hii laana tuliitoa wapi
 
Mkuu mtaa gani huko mtwara una camera za barabarani za security au za facial recognition!!??


Najua labda hukuelewa!!lntafafanua
Survilance system
-ni mfumo wa utambuzi wa watu ,mgari au vyovyote vinavyootoka na kuingia ua kupita barabaranii au mtaaani

Unajumuisha computers ammbazo zinaunganishwa naa camera za kutambua sura tofauti tofaut zikilinganisha na data base iliyopo
-hiyo inamaana kama kuna muhalifu
Ni rahisi kumkamata kama yupo mitaa hiyo zitaonesha akitembelea sokoni,mtaani au barabarani

—-so huwezi fichama kwene huu mfumo
Ushauri wako ni mzuri. Maswala ya usalama yana usiri mwingi. That was my point. Wewe unaweza kusubiri camera barabarani kumbe wenzako wameziweka kwenye mabenki, petrol station ukadhani ni za kuzuia majambazi kumbe zina function nyingine.
 
Habari

Wote tunajua kuwa kwasasa jirani zetu wanavohangaishwa na kuchinjwa n kundi la ugaidi msumbiji!!

Siku chache lilifanya fanya uhalifu tz mtwara na baadae kuzimwa!!

Lakini kama tujuavyo bado kundi hilo linakua kwa kasi na serikali imeshashindwa kulidhibiti!!

Kumbuka haya makundi yanakua funded na foreign nations n ni ngumu kukabiliana sana na haya makundi

Suluhisho pekee la kukabiliana na haya makundi ni

ADVANCED ARTIFICIAL INTELLIGENCE “/A.I
hapa tunaongelea vitu kama
-survilance system cameras on street,public places,gateways za ukaguzi n.k
-IDs attached na Biometric signature au DNA

hapo hata kama kuna wasaliti kwenye serikali kwenye kupambana na ugaidi hawachomoki..

Na
hapa ndpo china ilifanikiwa kushinda ugaidi uliokua unaisumbua miaka yote!!
Kwan kwenye hii technology hata western wanashindwa kupenyeza nguvu yao wamedhibitiwa!!

Mind you
-wale wakutumiwa mapesa mengi kukamilisha agenda za wazungu nao wanadhibitiwa kupitia uchunguzi

~~~~~~~~~~~~
Sioni jitihada za kitechnologia tunazofanya za kupambana na uhalifu huu wa nchi majiran!!
Maana modern problems doesnt need ordinary solutions

Tujuze!!
unaweza kuwa sawa.

lakini naomba tu nikujulishe kama Tanzania tume adopt system ya usalama kutoka israel na wakufunzi wetu wengi sana wa vyombo vya usalama wame trainiwa huko.

na israel ni kwamba mfumo wao unafanya kazi kama hawapo,hata kama ikitokea ukaambiwa tukio fulani limefanywa na mossad au israel ina hiki na hiki kiulinzi lazma ukatae sababu ipo kama haipo lakini inafanya mazito mno.

hivyo usitarajie vyombo vya ulinzi vitakwambia eti tunafanya moja mbili tatu kuhusu issue ya msumbiji rejea tukio la kibiti wanaelezea wananchi tu wenyewe wako kimya ila walichokifanya kinajulikana.

pia tafuta taarifa ya kile tulichowafanya M23 katika msitu wa goma kwa siku 2 tu hali ya kuwa majeshi ya congo yalikuwa yanahangaika nao kwa miaka zaidi ya 25
 
Toka niijue tanzania yangu vizuri kidigo sina wasi yaliyofanyika kibiti mungu anajua tz tuko salama sana
 
Kama jeshi letu lilifanikiwa kufanikisha uporaji wa koroshow kule mtwara litashindwa kweli kupambana na mgambo wa kimakonde
 
Back
Top Bottom