Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,690
- 29,909
Kwa sababu wewe ni hai leo ndo unapata kiburi cha uzima kusema hayoLete wazo, wameshafariki wako ndani ya Tope, nini kifanyike?, hapo Pana kina cha mita 5 cha Tope, chadomo wanasema helicopter zije, pia baadhi ya nyumbu wanashauri magreda yapekuwa yakiziharibu Maiti itakuwaje, hebu lete wazo chadema wewe labda wazo lako likasaidia maana taasisi za uokozi pia zinasoma hapa! 😁