Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 309
- 473
Mmmmh kama TPDF ndo itachukua vijana wa Jax apo mliovuka umri wa kuingia JAX mjipangeHaifi, ila idadi itapungua…
Kwa maana JW pekee, ndiyo itakayohitaji vijana kutoka JAX
Mmmmh kama TPDF ndo itachukua vijana wa Jax apo mliovuka umri wa kuingia JAX mjipangeHaifi, ila idadi itapungua…
Kwa maana JW pekee, ndiyo itakayohitaji vijana kutoka JAX
Huko Ndio Lazima iwe umepita JKTKo tpdf yenyewe lazima cheti Cha jax
Nimesoma hapa nimekusikitikia mkuu. Ila achana na mambo ya jeshi yasahau kabisa pambana na mambo mengine mtaani anza kidogo kidogo kuwa busy utapiga hatua.daah nmeingia na 23 nmetoka na 26 sahiz nina 28 mtaa interview zote ndoige ya umri ,,,,, yeyote anayehitaj ulinzi anitafute nipo hapa kijana mtiifu
Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama. (Waliopitia Jakata +Wasiopitia Jakata= interview ndio itatoa majibu ya ufaulu)Ko tpdf yenyewe lazima cheti Cha jax
Mi’ ukuruti wa jax kitambo sana nshatoboaga 😀Mmmmh kama TPDF ndo itachukua vijana wa Jax apo mliovuka umri wa kuingia JAX mjipange
Jax ulipigia wapiMi’ ukuruti wa jax kitambo sana nshatoboaga
KANEMBWA 824 KJ,Jax ulipigia wapi
atakama ulipita Jax Bado unakipengele vile vile "Connection" kinahitajikaKANEMBWA 824 KJ,
Wenye vigezo ni wengi, na nafasi ni chache…Hivyo basi, connection muhimu… Ukweli mchungu huu 😀atakama ulipita Jax Bado unakipengele vile vile "Connection" kinahitajika
Si nasikiaga la MtiipiD linachukua walioko makambini wanajitolea cc mujibu sijui inakuajeWaziachie tu, kila mtu ajue la kufanya…
Tufungue mioyo, au tushapigwa aziwea, tuendelee kulima tu
huyo alokwambia kapanga kukubwaga tu…Si nasikiaga la MtiipiD linachukua walioko makambini wanajitolea cc mujibu sijui inakuaje
Hahahaha noma kwel kwahiyo mwaka huu msata kinaweza happen tena ila mchaw tiptop aseeehhuyo alokwambia kapanga kukubwaga tu…
Wanachukuliwa hadi wasieonda Jax, itakuwa wewe mujibu..!?
Tafuta hela, alafu tafuta connection uone kama mpaka mwakani haujavaa bakabaka….
Kila mwaka kozi zinapigwa, na kila mwaka watu wanavaa bakabaka…Hahahaha noma kwel kwahiyo mwaka huu msata kinaweza happen tena ila mchaw tiptop aseeeh
This year vipi kuna wana washaenda tayar kihangaiko kuumia?Kila mwaka kozi zinapigwa, na kila mwaka watu wanavaa bakabaka…
Ila mwenye connection ndo anajua kuwa kuna kozi inaendelea…kama huna, unaweza stukia watu wanaanapa tu
Bdo kaka watu hawajaendaThis year vipi kuna wana washaenda tayar kihangaiko kuumia?
Millitary science si walishaendaga au??Bdo kaka watu hawajaenda
mda sana 3 months agoMillitary science si walishaendaga au??
Naomba tupeane update mkuu.. kama watu wakiaanza kuitwa kwenye kozi intake mpyaBdo kaka watu hawajaenda
Usijali ronja zitawekwa hapaNaomba tupeane update mkuu.. kama watu wakiaanza kuitwa kwenye kozi intake mpya