Ishu iko wazi,mamlaka iliyopo inatafuta njia za kifitina ile iendelee kujificha isionekane mbaya
Wanafanya kila linalowezekana kutumia watu,makundi ya kisiasa na kidini kusambaza fitina na kupotosha uhalisia
Tumeshaona vyama vya siasa vikitumika,tumeshaona UVCCM ikitumika,na tunaona Kundi la waislamu likitumika
Jambo la muhimu kutambua ni kwamba miongoni mwa hao wote hakuna atakayebaki salama na athari za njia wanazotumia,kutafuta suluhu ya kudumu ya matatizo yetu kama taifa kwa njia zinazokubalika ni muhimu sana zaidi ya kuganga njaa ya siku,mwezi au hata miaka michache.
Wanafanya kila linalowezekana kutumia watu,makundi ya kisiasa na kidini kusambaza fitina na kupotosha uhalisia
Tumeshaona vyama vya siasa vikitumika,tumeshaona UVCCM ikitumika,na tunaona Kundi la waislamu likitumika
Jambo la muhimu kutambua ni kwamba miongoni mwa hao wote hakuna atakayebaki salama na athari za njia wanazotumia,kutafuta suluhu ya kudumu ya matatizo yetu kama taifa kwa njia zinazokubalika ni muhimu sana zaidi ya kuganga njaa ya siku,mwezi au hata miaka michache.