Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,913
1695614782771.png

Hapo juzi waziri wa mambo ya nje wa Urusi ,Lavrov akiwa New York alikumbusha kwa masikitiko mengi kuwa Marekani wakisaidiwa na Uiengereza sasa hivi wako vitani rasmi na taifa lake la Urusi.

Kauli yake hiyo inazidi kuungwa mkono na misimamo ya Marekni pamoja na matamshi yao ambapo Rais Biden alipokutana na Zelensky huko huko New York na katika kuhitimisha maamuzi ya kuipatia Ukraine makombora ya ATAMCS, amesema Ukraine sasa inabidi iipige Urusi kwenye maeneo yake ya ndani ndani.

Mizinga ya ATACMS yaliyoombwa na Ukraine kwa nguvu yana uwezo wa kupiga mpaka maili 190 ndani ya Urusi kutoka mipaka yake.

ATACMS ndiyo iliyotumika mwaka 1991 wakati Marekani ikiipiga Iraq kuyafikia maeneo ya mbali ya Iraq kulikokuwa na vituo vya gharama vya nchi hiyo ya kiarabu.

Ukraine must now take the war into Russia

 

Hapo juzi waziri wa mambo ya nje wa Urusi ,Lavrov akiwa New York alikumbusha kwa masikitiko mengi kuwa Marekani wakisaidiwa na Uiengereza sasa hivi wako vitani rasmi na taifa lake la Urusi.

Kauli yake hiyo inazidi kuungwa mkono na misimamo ya Marekni pamoja na matamshi yao ambapo Rais Biden alipokutana na Zelensky huko huko New York na katika kuhitimisha maamuzi ya kuipatia Ukraine makombora ya ATAMCS, amesema Ukraine sasa inabidi iipige Urusi kwenye maeneo yake ya ndani ndani.

Mizinga ya ATACMS yaliyoombwa na Ukraine kwa nguvu yana uwezo wa kupiga mpaka maili 190 ndani ya Urusi kutoka mipaka yake.

ATACMS ndiyo iliyotumika mwaka 1991 wakati Marekani ikiipiga Iraq kuyafikia maeneo ya mbali ya Iraq kulikokuwa na vituo vya gharama vya nchi hiyo ya kiarabu.

Ukraine must now take the war into Russia

Biden yupo sahihi kama urusi anaishambulia Ukraine ndani kila kukicha kwanini na yeye asipigwe

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mdau alisema kwamba urusi alisogezewa kete mbovu naye akajaa, Ukraine ilikuwa ni kete mbovu aliyosogezewa urusi

Wale wacheza draft tulishakutana nazo sana kete za hivi

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hesabu alizopigiwa mrusi hatimae zimetimia. Kosa kubwa mno na zito ni pale Putin alipoivamia Crimea kwa mabavu na kuichukua.
 
We huoni toka aigawe korea kumekuwa na maendeleo korea, hasa korea ya kusini? Huoni mataifa kama Taiwani wanavyokimbilia ushirika na US? Ana mapungufu yake ila jamaa wanajua kuiendesha nchi yao.

ungekuwa unajua kwa undani kuhusu ASEAN na siasa zake ningebishana na wewe. Since you know nothing, unajua kile unachoona kwa macho tu, I do let you continue swimming in your ignorance.
 
Kwa nini dunia haitaki kuona na inajifanya ni kipofu kwa kile ambacho kinaweza kwenda kuitokea Ukraine?

Bado naendelea kuombea amani lakini naliona Giza la maumivu makali na vilio visivyokauka juu ya ardhi ya Ukraine, eeh Mungu epusha ulilonionesha.
Dunia imeona na ndio maana inapanga kinachotokea ukraine kikatokee urusi,same and equal.
 
Back
Top Bottom