Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,704
- 105,264
- Thread starter
- #41
"Makafiri" wapo wa kutosha wanaowaunga mkono na kuwatetea WaPalestina.Ameweka upande wa Kikafiri hiko kimstari kimoja kinyonge ili kubalance mada ila target 🎯 ilikuwa kusimanga Waislamu maana limetumia miguvu mingi kwenye kusema Uislamu