Ni kweli Tanzania hakuna udini kabisa?

Ni kweli Tanzania hakuna udini kabisa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
62,511
Reaction score
104,784
Ukitazama kiundani kuna mambo yanafikirisha.

Mfano Waislamu wote wanaipinga Israel na wanawajali sana Wapalestina wa Gaza ila hakuna Waislamu wanaojali Ukraine kuvamiwa na mauaji ya raia huko, je huu sio udini?

Wagalatia wengi wako upande wa Israel, je huu sio udini?
 
Ninachohofia ni kupenyezwa kwa udini kwenye nyumba za ibada kwa nguvu sana kwakuwa kuna watu wanafikiri ni kete nzuri ya kisiasa! ... utakuta shehe au mchungaji hotuba yote ni aidha kusifia au kuikandia serikali!
TAHADHALI: Matokeo yeyote ya siasa za namna hii yanaweza kuleta GENOCIDE!
... chondechonde watanzania tusifuge hili jini!
 
Shekhe, Ijumaa hii saa saba tunachinja nguruwe hapa msikiti wa mjini kati, karibu utuchinjie
Kafiri jumapili kuna choko mwenzako anaolewa Kanisani,nenda kashuhudie ndoa ya machoko wenzako.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    81.2 KB · Views: 9
Ukitazama kiundani kuna mambo yanafikirisha.

Mfano Waislamu wote wanaipinga Israel na wanawajali sana Wapalestina wa Gaza ila hakuna Waislamu wanaojali Ukraine kuvamiwa na mauaji ya raia huko, je huu sio udini?

Wagalatia wengi wako upande wa Israel, je huu sio udini?
Ndugu kafiri mleta mada

Umetumia mistar mitano kwenye kuzungumzia uislamu lakn kwenye dini yako umezungumzia kwa kutumia mistar miwil tu

Huo sio udini? Ndugu kafiri
 
Ndugu kafiri mleta mada

Umetumia mistar mitano kwenye kuzungumzia uislamu lakn kwenye dini yako umezungumzia kwa kutumia mistar miwil tu

Huo sio udini? Ndugu kafiri
Huyo ni choko,mtetezi wa machoko,kila uzi unaowasema machoko lazima aingie kukata viuno mpaka ana dondosha shanga zake za kiunoni.
 
Halafu kuna wewe mtetezi wa mashoga,

Je huo sio ushoga? Wewe sio Choko?
Ndugu yangu katika imani ya ukobaz, Naskia Mkiwa mmeinama shetani anakuja kuwapuliza vijambio vyenu, n kweli?
Na hua anataka nn kwenye vijambio vyenu?
 
Ndugu yangu katika imani ya ukobaz, onyesha mahali wakristo wamekatazwa kuoa mke zaidi ya mmoja
Ameandika Kafiri, wewe umeandika wakristo kwamba alivyosema Kafiri ndio alimaanisha wakristo au? 🤔
 
Back
Top Bottom