Kwanini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

Kwanini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
81,506
Reaction score
87,407
Ni Mikoa michache sana Tanzania ambako Matajiri wake sio Waislamu,kuanzia Sumbawanga Hadi Tanga,Mtwara Hadi Kigoma.

Kwa Upande wa Wakristo matajiri ni wachache sana,Je shida ni dini kuwanyonya waumini au aina ya mafundisho?

Rostam - Muslim
GSM -Muslim
Lugumi - Muslim
Mo Dewji - Muslim
Bahkresa - Muslim
Patel - Muslim
Manji - Muslim
Sett - Muslim

My Take
Walawi wa Tanzania mjitafakari.Pia soma Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka? | JamiiForums Tanzania Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?
 
Ni Mikoa michache sana Tanzania ambako Matajiri wake sio Waislamu,kuanzia Sumbawanga Hadi Tanga,Mtwara Hadi Kigoma.

Kwa Upande wa Wakristo matajiri ni wachache sana,Je shida ni dini kuwanyonya waumini au aina ya mafundisho?

Rostam - MuslimGSM - MuslimLugumi - MuslimMo Dewji - MuslimBahkresa - MuslimPatel - MuslimManji - MuslimSett - Muslim
Kwa.sababu ukiwa muislam Allah anakutajirisha! Lakini kwa ulimwengu matajiri wote wakubwa zaidi ya ishirini si waislamu.Sasa sijui huyu Allah anapendwlea Tanzania peke yake!
Maajabu haya!
 
Ni Mikoa michache sana Tanzania ambako Matajiri wake sio Waislamu,kuanzia Sumbawanga Hadi Tanga,Mtwara Hadi Kigoma.

Kwa Upande wa Wakristo matajiri ni wachache sana,Je shida ni dini kuwanyonya waumini au aina ya mafundisho?

Rostam - Muslim
GSM -Muslim
Lugumi - Muslim
Mo Dewji - Muslim
Bahkresa - Muslim
Patel - Muslim
Manji - Muslim
Sett - Muslim

My Take
Walawi wa Tanzania mjitafakari
Wakristo wao wanawatajirisha matapeli kina Mmwanposa and others! Uislam na biashara ni samaki na maji.
 
Wakristo sio mafisadi ndio mana. Katika hao uliowataja ni mo peke yake sio fisadi.
 
Ni Mikoa michache sana Tanzania ambako Matajiri wake sio Waislamu,kuanzia Sumbawanga Hadi Tanga,Mtwara Hadi Kigoma.

Kwa Upande wa Wakristo matajiri ni wachache sana,Je shida ni dini kuwanyonya waumini au aina ya mafundisho?

Rostam - Muslim
GSM -Muslim
Lugumi - Muslim
Mo Dewji - Muslim
Bahkresa - Muslim
Patel - Muslim
Manji - Muslim
Sett - Muslim

My Take
Walawi wa Tanzania mjitafakari.Pia soma Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka? | JamiiForums Tanzania Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?
Mbona Mengi hayumo na kwa utafiti na vigezo gani au unaleta udini uchwara?
 
Mbona Mengi hayumo na kwa utafiti na vigezo gani au unaleta udini uchwara?
Kuna marehemu Ally Mufuruki,
Tanil sumaiya, Aziz Abood,

Daladala Town mostly ni za waislam (hao wachache wenye utajir wa kiwango cha kawaida tu)..
Waislam nature yao ni biashara! Wakristo wao nature yao waajiliwe na kuwa manabii uchwara....
 
Na mazuzu yanajiripua kweli!

Utasikia pokea Gari'

Yenyewe makondoo yanajibu ""NAPOKEA DAD""

hii mijitu mizuzu sana!
usidharau imani za watu we kenge, hata kwa waislam kuna utapeli, tena utapeli mkubwa kuliko hata huo wa kupokea magari unaouona kwa hao ma dady. Ulishawahi kwenda maka kuhiji? Huo ndio utapeli wa kidini mkubwa uliopo duniani elewa hivyo!
 
Back
Top Bottom