Ni kweli Tanzania hakuna udini kabisa?

Ni kweli Tanzania hakuna udini kabisa?

Ninachohofia ni kupenyezwa kwa udini kwenye nyumba za ibada kwa nguvu sana kwakuwa kuna watu wanafikiri ni kete nzuri ya kisiasa! ... utakuta shehe au mchungaji hotuba yote ni aidha kusifia au kuikandia serikali!
TAHADHALI: Matokeo yeyote ya siasa za namna hii yanaweza kuleta GENOCIDE!
... chondechonde watanzania tusifuge hili jini!
Kama unavyosema mkuu udini unasapotiwa sana na siasa kwa nchi yetu

Pia naona umechipukia kwa kasi sana mitandaoni sio tu Jf hata platform nyengine ila mtaan bado hakujawaka sana
 
Ukitazama kiundani kuna mambo yanafikirisha.

Mfano Waislamu wote wanaipinga Israel na wanawajali sana Wapalestina wa Gaza ila hakuna Waislamu wanaojali Ukraine kuvamiwa na mauaji ya raia huko, je huu sio udini?

Wagalatia wengi wako upande wa Israel, je huu sio udini?

Enzi za Mwalimu, aliwakataa Israel na kuwaunga mkono Palestine.

Ila kwa haya yanayoendelea udini unahamasishwa kwa matendo. Sasa hivi ukisema unaonekana mdini hata kama hoja ni kwa manufaa ya wote.
Labda tutajifunza, maana ubabaishaji huwa haudumu.
Na udini unashamiri sababu ya matendo yetu ya ubabaishaji
 
Ndugu yangu katika imani ya ukobaz, Naskia Mkiwa mmeinama shetani anakuja kuwapuliza vijambio vyenu, n kweli?
Na hua anataka nn kwenye vijambio vyenu?
Bila shaka unamuongelea mumeo,pale unapomuinamia hua anakususa tundu kabla ya kukusokomezea rungu lake,ndio maana umeregea kama vile umevunjwa mifupa.
 
Ameandika Kafiri, wewe umeandika wakristo kwamba alivyosema Kafiri ndio alimaanisha wakristo au? 🤔
Usiumize kichwa, wakristo wanawaita Waislamu makafir na Waislamu wanawaita wakristo makafiri.
 
Kama unavyosema mkuu udini unasapotiwa sana na siasa kwa nchi yetu

Pia naona umechipukia kwa kasi sana mitandaoni sio tu Jf hata platform nyengine ila mtaan bado hakujawaka sana
Mambo yanayokuja JF yameanzia mtaani.
 
Bila shaka unamuongelea mumeo,pale unapomuinamia hua anakususa tundu kabla ya kukusokomezea rungu lake,ndio maana umeregea kama vile umevunjwa mifupa.
Ila wanangu nyie mmevuka viwango, Yn mpaka shetani anaingia msikitini kuwapuliza vijambio 😂
Mwisho wa kuswali atawaingizia kidole Ili kuongeza kipenyo
 
Kama unavyosema mkuu udini unasapotiwa sana na siasa kwa nchi yetu

Pia naona umechipukia kwa kasi sana mitandaoni sio tu Jf hata platform nyengine ila mtaan bado hakujawaka sana
... halafu watu tunajiita 'GREAT THINKERS', ... I think it should be 'GREAT SINKERS'!
 
Ndugu kafiri mleta mada

Umetumia mistar mitano kwenye kuzungumzia uislamu lakn kwenye dini yako umezungumzia kwa kutumia mistar miwil tu

Huo sio udini? Ndugu kafiri
Ameweka upande wa Kikafiri hiko kimstari kimoja kinyonge ili kubalance mada ila target 🎯 ilikuwa kusimanga Waislamu maana limetumia miguvu mingi kwenye kusema Uislamu
 
Kama unavyosema mkuu udini unasapotiwa sana na siasa kwa nchi yetu

Pia naona umechipukia kwa kasi sana mitandaoni sio tu Jf hata platform nyengine ila mtaan bado hakujawaka sana
Jf hata mods wana udini mkubwa nilishawahi kuwaanika kwenye Uzi mmoja nikiwa na ushahidi mkubwa
 
Ameweka upande wa Kikafiri hiko kimstari kimoja kinyonge ili kubalance mada ila target 🎯 ilikuwa kusimanga Waislamu maana limetumia miguvu mingi kwenye kusema Uislamu
Ndio maana hua wanaitwa Kondoo coz ameshindwa hata kuficha chuki zake.
 
Waarabu wanaona Uislamu n utamaduni, Waafrika wanaona ni dini 😂
 
dini mwenzenu huwa naona zinanitia tu kizunguzungu 🙄
Lakn ukabila mlojaa nao haukup kizunguzungu? Bora niishi na shoga kafiri muuaj mchawi lakn sio mmeru

Wameru ni moja kati ya jamii za ovyo Tanzania, hawajastarabika na hawajitambui na mazwazwa yanaishi na kuendekeza ukabila kupita kiasi

Bora umpe mbwa chakula asife lakn sio kumpa mmeru
 
Ila wanangu nyie mmevuka viwango, Yn mpaka shetani anaingia msikitini kuwapuliza vijambio 😂
Mwisho wa kuswali atawaingizia kidole Ili kuongeza kipenyo
Nyie machoko mpaka mmeamua kuingiza machoko wenzenu na kuhiji nao,ila mumeo anakufaidi sana,mtoto umefungasha nyuma si haba,siku zingine ukiliwa mpaka hua unamwambia na mamako.
 

Attachments

  • Screenshot_20251223_142633_Gallery.jpg
    Screenshot_20251223_142633_Gallery.jpg
    144.3 KB · Views: 3
Ninachohofia ni kupenyezwa kwa udini kwenye nyumba za ibada kwa nguvu sana kwakuwa kuna watu wanafikiri ni kete nzuri ya kisiasa! ... utakuta shehe au mchungaji hotuba yote ni aidha kusifia au kuikandia serikali!
TAHADHALI: Matokeo yeyote ya siasa za namna hii yanaweza kuleta GENOCIDE!
... chondechonde watanzania tusifuge hili jini!
Kuna ufa,
TEC walikuwa kinyume huku BAKWATA wakiunga mkono kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom