Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,807
Nikiwa katika matembezi yangu hapa Iringa Mjini nimepata kusikia habari za uwepo wa makundi mawili ya Simba wanaosadikika kutafuna mifugo katika maeneo mbalimbali ikiwemo maeneo ya Lupembe lwa senga na vijiji jirani
Kama kuna mtu anaweza kuwa labda kashuhudia au muhanga tunaomba taarifa rasmi tujue maeneo haya ya jirani na mjini ni kweli kuna uwepo wa Simba?
Ikumbukwe ni msimu wa mavuno huu watu tunajinywea komoni zilizoiva vizuri kama tulale saa12 tuambiwe jamani!!!
Naambatanisha picha inayosemekana imepigwa kijijini Lupembe lwa senga baada ya Simba hao kuvamia zizi na hicho kingine inasemekana ni kinyesi Cha Simba
Wajuvi mtatusaidia kutuelewesha.
Soma: Iringa: Mbwa Mayele asifika kusaidia kufanikisha doria ya kuwasaka Simba waliovamia vijiji
Kama kuna mtu anaweza kuwa labda kashuhudia au muhanga tunaomba taarifa rasmi tujue maeneo haya ya jirani na mjini ni kweli kuna uwepo wa Simba?
Ikumbukwe ni msimu wa mavuno huu watu tunajinywea komoni zilizoiva vizuri kama tulale saa12 tuambiwe jamani!!!
Naambatanisha picha inayosemekana imepigwa kijijini Lupembe lwa senga baada ya Simba hao kuvamia zizi na hicho kingine inasemekana ni kinyesi Cha Simba
Wajuvi mtatusaidia kutuelewesha.
Soma: Iringa: Mbwa Mayele asifika kusaidia kufanikisha doria ya kuwasaka Simba waliovamia vijiji