pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Mimi ni kijana amabaye sijaoa mpka sasahivi ninakaribia 28+ lakini vijana wenzangu katika rika hili wameshao. Kilichonifanya niseme wanawake wana baraka ni maendeleo ya vijana wenzangu walioyapata soon tu baada ya kuoa.
Mwanzo tulikuwa na maendeleo sawa pia hata kipato kikawa sawa kabisa. Ila gap limetokea baada ya kuoa tu wameniacha mbali sana..pia kipato wamenizidi. Tupo sehemu ya madini Geita wao wakienda wanapata dhahabu sana ila Mimi hapana...hata kama tukijaribu kutafuta wote tunakosa ila wakienda wao wanapata.
Sasahivi wana nyumba kubwa tu na nzuri mpaka nawaza sijui nioe pia nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ingawa hatukufanikiwa kuoana alikuwa ananiambia MME WANGU KAFANYE KAZI UTAPATA TU nikienda kweli nilikuwa napata.
Karibu kwa ushauri sijui nioe tu na mwanamke anabaraka na ridhiki yake katika ndoa?
Mwanzo tulikuwa na maendeleo sawa pia hata kipato kikawa sawa kabisa. Ila gap limetokea baada ya kuoa tu wameniacha mbali sana..pia kipato wamenizidi. Tupo sehemu ya madini Geita wao wakienda wanapata dhahabu sana ila Mimi hapana...hata kama tukijaribu kutafuta wote tunakosa ila wakienda wao wanapata.
Sasahivi wana nyumba kubwa tu na nzuri mpaka nawaza sijui nioe pia nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ingawa hatukufanikiwa kuoana alikuwa ananiambia MME WANGU KAFANYE KAZI UTAPATA TU nikienda kweli nilikuwa napata.
Karibu kwa ushauri sijui nioe tu na mwanamke anabaraka na ridhiki yake katika ndoa?