Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,129
Inategemeana na bahati yako, wengine baada ya kuoa wakafukuzwa kazi na wengine baada ya kuoa wakafa, wengine baada ya wakafungwa jela.
Maisha yetu yameshakuwa programed mkuu.,tangu kuzaliwa kwako hadi kifo chako.Kwa hiyo mkuu unamaanisha maisha yetu yamekuwa programmed? Kama ni hivyo unaweza vipi kumtambua aliyeandikiwa mafanikio?
Yeye anachotakiwa kujali ni kula mbususu tuu. Hayo ya baraka apotezee tuu.Wenye baraka wapo na wenye mikosi wapo
Na wenye kukufanya ujute pia wapo
Kazi ni kwako
Tatizo tunashindwa kugundua huyu ana baraka au mkosi ...unakuta umevagaa lenye gundu pasi na kujuaWenye baraka wapo na wenye mikosi wapo
Na wenye kukufanya ujute pia wapo
Kazi ni kwako
Pattern reading, trends reading...Tatizo tunashindwa kugundua huyu ana baraka au mkosi ...unakuta umevagaa lenye gundu pasi na kujua
Mimi ni kijana amabaye sijaoa mpka sasahivi ninakaribia 28+ lakini vijana wenzangu katika rika hili wameshao. Kilichonifanya niseme wanawake wana baraka ni maendeleo ya vijana wenzangu walioyapata soon tu baada ya kuoa.
Mwanzo tulikuwa na maendeleo sawa pia hata kipato kikawa sawa kabisa. Ila gap limetokea baada ya kuoa tu wameniacha mbali sana..pia kipato wamenizidi. Tupo sehemu ya madini Geita wao wakienda wanapata dhahabu sana ila Mimi hapana...hata kama tukijaribu kutafuta wote tunakosa ila wakienda wao wanapata.
Sasahivi wana nyumba kubwa tu na nzuri mpaka nawaza sijui nioe pia nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ingawa hatukufanikiwa kuoana alikuwa ananiambia MME WANGU KAFANYE KAZI UTAPATA TU nikienda kweli nilikuwa napata.
Karibu kwa ushauri sijui nioe tu na mwanamke anabaraka na ridhiki yake katika ndoa?
Nje ya mada: hiyo miguu kwenye Avatar ni ya kwako ?Kafunge pingu za maisha kwa mihemko utatupa mrejesho
Small minded personUkiona kijana wa age hiyo anamafanikio na kaoa hana back up ya mama wala baba ujue anatumia ushirikina kwenye mipango yake
Umemaliza chuo age 26 umerudi mtaani huna ajira huna backup ya mama wala mjomba kukupa ata mtaji wa laki umesota kitaani mambo hayaendi unaamua kuoa hivyo hivyo na hali yako miaka miwili mbele unaoa mara gafla biashara zinaanza kutiki mara gari mara ujenzi unaendelea investment za maana hiyo ni miaka miwili baada ya kuoaSmall minded person
Bado unazidi kukazia how small minded you are...Umemaliza chuo age 26 umerudi mtaani huna ajira huna backup ya mama wala mjomba kukupa ata mtaji wa laki umesota kitaani mambo hayaendi unaamua kuoa hivyo hivyo na hali yako miaka miwili mbele unaoa mara gafla biashara zinaanza kutiki mara gari mara ujenzi unaendelea investment za maana hiyo ni miaka miwili baada ya kuoa
endeleeni kujidanganya
binafsi nimeona vijana wengi walikosa muelekeo baada kuoa kwahiyo ukiona mtu ameanza kufanikiwa kwa muda mfupi baada ya kuoa mtathimini
Nifafanulie vizuri mkuuPattern reading, trends reading...
Weka kumbu kumbu zako vizuri. Toka Ile siku umemuona, Ile siku umemuomba namba.. Vile mlivyoanza chatting na outs.
Na Ile siku ya kwanza kulala nae, na muendelezo wa hapo. Ni routine kusoma hiyo cycle. Utajua uko sehemu sahihi au isiyo sahihi.
Lakini pia ndoa, yani muunganiko wa pamoja katika madhabahu ya Imani yako huwa inavunja laana na mikosi kutoka pande zote. (me na ke) na kuwa na mwanzo mpya. Hapa mkisali Kwa Imani Kwa pamoja mtafanikiwa. Wawili Wana nguvu kuliko mmoja.. Hivyo ni rahisi Sala na dua kusikika na kujibiwa.