Ni Kweli Mwamposa anaponya Virusi Vya Ukimwi?

Wakuu habari!

Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.

Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.

Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.

Au ni kweli??

Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Madalali wapo mpaka kwenye ulozi na wanalipwa posho nono
 
Wakuu habari!

Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.

Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.

Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.

Au ni kweli??

Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?


Kwanini tuwe na wagonjwa, watu wanaokufa, Maskini?

Wakiamua wawaombee wote, tuwazidi USA.
 
Ni hatari tupu...

Baada ya kuombewa hakwenda kupima?
we acha Kaka, jamaa alikuwa anakula dozi na mwili uli-recovery vizuri na gym akawa anafanya mazoezi,

Sindio akajichanganya kwenda huko sijui kuombewa kwa Mwamposa, halafu nasikia ukitumia dozi ukienda kupima virusi Havionekani,

Jamaa akaacha ARV, alipata na ukichaa then akafa,story ni ndefu
 
Kama hata hilo hujui basi kaa na ukimwi wako endelea kula njugu mengine waachie wanaoelewa
Punguza ukali wa maneno.

Sina UKIMWI.

Nauliza suala la kiroho.

Inawezekana kweli mtu akaombewa na Mwamposa na kupona VVU?

Kama ni kweli,watu wangekuwa wanateseka na ARVs?
 
we acha Kaka, jamaa alikuwa anakula dozi na mwili uli-recovery vizuri na gym akawa anafanya mazoezi,

Sindio akajichanganya kwenda huko sijui kuombewa kwa Mwamposa, halafu nasikia ukitumia dozi ukienda kupima virusi Havionekani,

Jamaa akaacha ARV, alipata na ukichaa then akafa,story ni ndefu
Kiukweli hili jambo haliniingii akilini.

UKIMWI?
Maana yake Hata Corona anaweza kuponya??
 
Wakuu habari!

Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.

Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.

Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.

Au ni kweli??

Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Stahili ya wachungaji imeua watu wengi sana, mtu anaacha dozi ugonjwa ukirudi unakuwa na kasi mpaka hatua ya kupoteza uhai wa mtu.

Nina mama yangu mdogo alikufaga 2001,yy alikuwa na tatizo la kichwa, madaktari waka mchunguza wakasema huyu kwa vidonge tatizo lake linaisha, imeenda kweli baada ya kutumia vile vidonge hali ilibadilika kabisa na kuanza kuwa vizuri. Akaja mdogo wake kamdanganya kampeleka kwenye makanisa haya ya kilokole,vidonge akaacha kutumia, tatizo likarudi tena na kuwa kubwa zaidi mpaka akapoteza maisha.

Halafu baada ya kufa yuleyule aliye mpeleka kwenye makanisa ya kilokole akadai wamemloga dada yak,kumbe hajui upuuzi wake ndio uliomuua dada yake.

Hatukatai miujiza ipo ila miujiza mingine inafanyika kupitia watu waliopewa vipawa na Mungu (Madaktari).Uzuri madaktari kama jambo wakiliona kwamba hili si la kawaida, wanakushauri uende upande mwengine (makanisani kwa waganga nk),mf kuna mtu na mjua mdogo wake alikuwa chizi ghafla akapelekwa Muhimbili, wakamchunguza yule Daktari bingwa wa magonjwa ya akili akamwambia kaka yake kwamba hakuona tatizo kwa mdogo wake akajaribu kwa watu wa tiba za asili na kweli ndani ya miezi sita yule jamaa akapona.

Kuna mwingine ana Ukimwi kadanganywa na hawa wachungaji kaacha vidonge,mwaka juzi kapigwa stroke kapooza upande mmoja.
 
Wakuu habari!

Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.

Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.

Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.

Au ni kweli??

Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Mtume mwamposa 🤣🤣🤣,wakristo bhana eti mtume mara nabii

Kuna mtu mmoja anajiita Hamza akajifanya yeye ni nabii baada ya Muhammad (s.a.w),waislamu walimkataaa mchana kweupe sijamsikia tena yule bwana Hamza

Anyway,haya mambo kwa wakristo ni kawaida tu,wana nabii wao anaitwa SHILA 🤣🤣🤣 analijua BATA vibaya mno 🤣🤣🤣
 
we acha Kaka, jamaa alikuwa anakula dozi na mwili uli-recovery vizuri na gym akawa anafanya mazoezi,

Sindio akajichanganya kwenda huko sijui kuombewa kwa Mwamposa, halafu nasikia ukitumia dozi ukienda kupima virusi Havionekani,

Jamaa akaacha ARV, alipata na ukichaa then akafa,story ni ndefu
Alikufa baada ya muda gani toka alipoacha dozi
 
Hey Hey it's Saturday
giphy.gif
giphy.gif
giphy.gif
giphy.gif
giphy.gif
giphy.gif
 
Nafikiri ww ndiyo ungetupa mjeresho kama ni kweli maana nasikia upo jirani naye!
 
Wakuu habari!

Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.

Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.

Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.

Au ni kweli??

Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Ngoja nilambe totos Kwa speed ya 4G.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho, ona mapepo tangu uhuru mpaka sasa miaka 60 yanakemewa.na bado yapo yana randa randa kwa wale wale
 
Back
Top Bottom