Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,119
Kama hata hilo hujui basi kaa na ukimwi wako endelea kula njugu mengine waachie wanaoelewaKwahiyo mtu akitaka kuponywa VVU atamkuta wapi Yesu?
Kama hata hilo hujui basi kaa na ukimwi wako endelea kula njugu mengine waachie wanaoelewaKwahiyo mtu akitaka kuponywa VVU atamkuta wapi Yesu?
Madalali wapo mpaka kwenye ulozi na wanalipwa posho nonoWakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Wakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
we acha Kaka, jamaa alikuwa anakula dozi na mwili uli-recovery vizuri na gym akawa anafanya mazoezi,Ni hatari tupu...
Baada ya kuombewa hakwenda kupima?
Punguza ukali wa maneno.Kama hata hilo hujui basi kaa na ukimwi wako endelea kula njugu mengine waachie wanaoelewa
Kiukweli hili jambo haliniingii akilini.we acha Kaka, jamaa alikuwa anakula dozi na mwili uli-recovery vizuri na gym akawa anafanya mazoezi,
Sindio akajichanganya kwenda huko sijui kuombewa kwa Mwamposa, halafu nasikia ukitumia dozi ukienda kupima virusi Havionekani,
Jamaa akaacha ARV, alipata na ukichaa then akafa,story ni ndefu
wanasema ukihamini unapona eti"😎Kiukweli hili jambo haliniingii akilini.
UKIMWI?
Maana yake Hata Corona anaweza kuponya??
Stahili ya wachungaji imeua watu wengi sana, mtu anaacha dozi ugonjwa ukirudi unakuwa na kasi mpaka hatua ya kupoteza uhai wa mtu.Wakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Mtume mwamposa 🤣🤣🤣,wakristo bhana eti mtume mara nabiiWakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?
Alikufa baada ya muda gani toka alipoacha doziwe acha Kaka, jamaa alikuwa anakula dozi na mwili uli-recovery vizuri na gym akawa anafanya mazoezi,
Sindio akajichanganya kwenda huko sijui kuombewa kwa Mwamposa, halafu nasikia ukitumia dozi ukienda kupima virusi Havionekani,
Jamaa akaacha ARV, alipata na ukichaa then akafa,story ni ndefu
SIKU MOJA MWAMPOSA ATAKULISHENI NYASI MBWA NYIE.
Ngoja nilambe totos Kwa speed ya 4G.Wakuu habari!
Nilikuwa sehemu fulani jirani yetu kuna watu wengi wamekusanyika wanamuangalia Mchungaji Mwamposa kwenye TV.
Mara nasikia kuna mdada anatoa ushuhuda kuwa ameponywa V.V.U Kabisa.
Hili suala la Mwamposa kuponya V.V.U kwangu naona ni uongo wa mchana kweupe.
Au ni kweli??
Kwamba V.V.U inaombewa na kupotea kabisa?