Kumsomesha mchumba ni kujitakia maumivu ya moyo tu aisee.
Kuna kademu kangu kamoja ka msingi huko kalifeligi form 4 jamaa akafanya makeke akakapeleka chuo kakamaliza IFM kwa ahadi kuwa atakaoa.
Baadaye jamaa alikaoa bana, wamekaa miaka kama minne hivi ndoa ikawa chungu balaa, kila mmoja mjuaji, kidemu kila mtu anajigegedea, hata mie nimegegedako mara kibao tu.
Ni aibu aisee, kama unataka maisha mazuri na future nzuri tafuta tu aliyesomeshwa na wazazi wake, anakuaga na discpline ya maisha, hawa wa kusomeshwa hawa headache tupu.
Nimeshuhudia zaidi ya watu wanne wakisomesha wachumba wao, lakini mwisho wa siku wanaishia kulia tu aiseee.
Mchumba asomeshwi aisee, utakuja lia, bora usomeshe hata mdogo wako wa kike ipo siku atakusalimia kwa kukupigia magoti sio mchumba aiseee.