Mwakilishi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 483
- 32
Sasa ikiwa kila anayesemwa na upinzani au specifically CHADEMA (kama alivyodai Bwana Machunde) ataacha kulitumikia taifa sijui itakuwaje?
Yeye aseme tu kwamba kuna "conflict of interest" ndio maana kajitoa haya mengine yote ya ohh wamenisema, nimefadhaishwa, blah blah blah ya nini???
Yeye aseme tu kwamba kuna "conflict of interest" ndio maana kajitoa haya mengine yote ya ohh wamenisema, nimefadhaishwa, blah blah blah ya nini???