Ni kweli Kikwete ana Degree?

wakuu mimi sina degree nina tofauti yoyote na mtu mwenye degree?

yani cha msingi unafanya kazi au biashara zako halali zinazokuingizia kipato ni bora wewe kuliko mwenye digirii ambayo hamjaisaidia kitu!
 
unajua mtu unaweza kuwa na degree ukawa huonekani kama una degree. Hii inatokana na kuipata kwa kukariri na si kupata maarifa. Mi nafikiri huyu jamaa aliipata kwa kukariri ndo maana mnamuona kama hana.
 
Back
Top Bottom