Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,314
Hiyo ndio hali halisi. Kwa sasa kila kijiwe ninachopita vijana wanalalamika ni vigumu sana kupata hii kitu inaitwa bikra hata kwa mabinti wabichi kabisa.
Imezoeleka vijana wengi wa kiume wakibalehe huanza kujionjesha utamu wenyewe a.k.a puchulization, lkn huenda hii tabia imehamia kwa mabinti pia.
Swali langu ni kweli hii kitu imeadimika kiasi hiki? Wale wataalamu wa kugusagusa kama Zero IQ hebu mtupe majibu.
Imezoeleka vijana wengi wa kiume wakibalehe huanza kujionjesha utamu wenyewe a.k.a puchulization, lkn huenda hii tabia imehamia kwa mabinti pia.
Swali langu ni kweli hii kitu imeadimika kiasi hiki? Wale wataalamu wa kugusagusa kama Zero IQ hebu mtupe majibu.