Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Kupata bikra kwa sasa ni ngumu kuliko ata kupata Nafasi ya kugombea nafasi ya UraisiHiyo ndio hali halisi. Kwa sasa kila kijiwe ninachopita vijana wanalalamika ni vigumu sana kupata hii kitu inaitwa bikra hata kwa mabinti wabichi kabisa.
Imezoeleka vijana wengi wa kiume wakibalehe huanza kujionjesha utamu wenyewe a.k.a puchulization, lkn huenda hii tabia imehamia kwa mabinti pia.
Swali langu ni kweli hii kitu imeadimika kiasi hiki? Wale wataalamu wa kugusagusa kama Zero IQ hebu mtupe majibu.View attachment 1183711