Gitarijosenga
JF-Expert Member
- Aug 3, 2019
- 276
- 273
Ukamtunuku bikra ganYeah
alinisubiri miaka na room nlikua nakaa nae but hakuwai niforce mbka siku nilipoona sasa nimeridhia nikampa isingekua tofauti ya dini angenioa yeye yuko smart sana namkubali mbka kesho..alisema kama ntabadili mawazo nikakubali kubadili dini atanioa but ndo ivo mi siwez...ila kifupi hakua na kasoro kwangu..tulikua marafiki tangu nikiwa primary badae ukawa uchumba nilipomaliza secondary nikamtunuku nimuache kwa amani mana ni zaidi ya mwanaume yule dah...sujutii.