Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,255
- 48,109
Hivi Mama Spika anapomuomba waziri ajibu kwa kifupi sana huwa anamaanisha nini?
Binafsi naona maana yake ni kuwa ama waziri ajibu haraka kwa sababu muda ni kidogo, au waziri ajibu kwa kufunika hata asipoeleweka au swali lililoulizwa ni la kipuuzi hivyo waziri aburuze tu na atalindwa.
Naomba mchango wenu tafadhali.
Kuwa na mama kama yule dah nia aibu maana hana busara hata kidogo, yule ni Anne Makinda... sio Mama