Ni kwanini wilaya ya Kigamboni maendeleo yapo taratibu sana?

Posts ni karibu sana
 
Ushirikina mwingi na ukosefu wa maji safi na salama
 
Fact
 
Mkuu hizi bei za viwanja za 800,000 mpaka 1,600,000 ni za Dar?? Au unaongelea mkoa mwingine??
 
Mkuu,
-Bunju B,Mbweni na Ununio na Silversand zipo mbali na Airport ,Bandari na Magufuli,,,

-Mbweni na Ununio, usafiri ni shida hata saa 7 mchana, na ikifika saa 2 usiku ndiyo usahau...

Kuhusu Njia kutopitika kipindi cha mvua, hiyo ni Sifa ya Dar nzima,,,Msimbazi, Kariakoo,Kawe hadi Kariakoo

Kuanzia Pugu kwenda Mvuti, huduma ya maji ni mbovu kuliko....

Watu hawajengi kisa hawana hela ya kujenga huko.
 
Itakua kweli watu wanapakwepa, haiwezekani sehemu za wilaya ya ilala , kinondoni na temeke zilizokua nyumakabisa saiv pameendelea sana kigamboni pako vzilevile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…