Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Unakuta mtu mpenzi wake anamuoneshea dalili zote hamtaki lakini mtu anaendelea kung'ang'ania
Tatizo linakuwa ni nini mtu kutokubali matokeo kama kaachwa maana dah kuna rafiki yangu bado anakomaa licha ya visa na vituko anavyofanyiwa lakini bado anakomaa
Tatizo linakuwa ni nini mtu kutokubali matokeo kama kaachwa maana dah kuna rafiki yangu bado anakomaa licha ya visa na vituko anavyofanyiwa lakini bado anakomaa