Ni kwanini haukutumia pesa ya boom kujenga au kuendesha biashara kubwa?

Unajua Hakuna kitu kizuri Kama nidhamu na utii. Serikali haikuwa na upumbavu kukupa mtu pesa ya kujikumu. Ile NI pesa ya kula, nauli, stationaries, research na mambo mengine ya kusupport masomo. Sasa iweje iweje wewe uikosee adabu serikali uende ukawekeze kwenye mambo mengine? Unanidhamu kweli wewe? Hebu tuweni watii na nidhamu bila shuruti, ala!!!
Haaaa 😀😀😀😀 nacheka kama mazuri ila ndio maisha yenyewe
 
Tuacheni utani, natumia nauli 55,000 + 10,000 kula njiani, unafika chuo unapewa 400,000 kwa miezi miwili. Umepanga geto la sh 35,000 unatakiwa ulipe miezi 3, bado hujala, bado maswala ya stationery, bado hujavaa, bado bando, nk nk nk. Kujenta utawezaje kwa hali hiyo. Asilimia kubwa waliofanya kitu cha maana na hizi hela ni wale wanaotoka familia zinazojiweza lkn pia wanajielewa hata kichwani. Wengineo 95% ni ngumu kufanya maendeleo na hii pesa kama unaitegemea kwa kila kitu.
 
Boom lenyewe linalozungumziwa ni 500k kwa miezi miwili..yaani 250k per month...

Tukiacha akili za kimaskini hii hela hata haitoshi kujikimu ili mwanafunzi a-excel vizuri kwenye mafunzo yake

Lakini tunaambiwa wapo walifanikiwa kupitia hiyo hiyo 250k
 
Unajua Hakuna kitu kizuri Kama nidhamu na utii. Serikali haikuwa na upumbavu kukupa mtu pesa ya kujikumu. Ile NI pesa ya kula, nauli, stationaries, research na mambo mengine ya kusupport masomo. Sasa iweje iweje wewe uikosee adabu serikali uende ukawekeze kwenye mambo mengine? Unanidhamu kweli wewe? Hebu tuweni watii na nidhamu bila shuruti, ala!!!

Eti nidhamu 😀😀😀
 
Ahahaaa...ukitaka kuinvest kupitia pesa za boom lazima ujinyime na uishi maisha ya shida Sana chuoni,labda kwa wale wanaotokea familia zinazojiweza yaani utakuta mtu analipiwa ada na board asilimia mia lakini nyumban kwao kawaambia analipiwa asilimia sifuri...Sasa apo ile pesa anayopewa kwao ndo anaenda fanyia mambo yake.

Binafs nmejitaidi sana pesa yngu ya boom niitumbukize Kwenye biashara,duuh nmepoteza zaid ya laki tano Ila skukata tamaa kamkopo changu cha last yr nlichukua kiasi nkapeleka sehemu nkakisimamia angalau nmevuna matunda japo sio sana but ninapakujishkza kidogo...

Ila chuoni ukitaka uishi kwa kujibana na utunze pesa zako usifate mkumbo...yaani kama pamba nunua mitumba yako ile grade nzuri,kula simple achana na mambo ya restaurant sijui club, nunua simu simple tu achana na mambo ya stutas za juu...mwsho tafuta geto mkae wawili au watatu mnaoendana akili na malengo
 
Ahahaaa...ukitaka kuinvest kupitia pesa za boom lazima ujinyime na uishi maisha ya shida Sana chuoni,labda kwa wale wanaotokea familia zinazojiweza yaani utakuta mtu analipiwa ada na board asilimia mia lakini nyumban kwao kawaambia analipiwa asilimia sifuri...Sasa apo ile pesa anayopewa kwao ndo anaenda fanyia mambo yake.

Binafs nmejitaidi sana pesa yngu ya boom niitumbukize Kwenye biashara,duuh nmepoteza zaid ya laki tano Ila skukata tamaa kamkopo changu cha last yr nlichukua kiasi nkapeleka sehemu nkakisimamia angalau nmevuna matunda japo sio sana but ninapakujishkza kidogo...

Ila chuoni ukitaka uishi kwa kujibana na utunze pesa zako usifate mkumbo...yaani kama pamba nunua mitumba yako ile grade nzuri,kula simple achana na mambo ya restaurant sijui club, nunua simu simple tu achana na mambo ya stutas za juu...mwsho tafuta geto mkae wawili au watatu mnaoendana akili na malengo

Ohoooo!
 
Pesa ya kujikimu (boom). Kiukweli nilinunua PC, smartphone na kuchonga kitanda tu. Labda pesa kdgo kwa madogo home. Kiukweli Ile pesa haitoshi kuanzisha miradi ya maana Wala kujengea, labda wale ambao familia zao zinajiweza kiuchumi. Ila sisi wengine hilo boom ndo lakulipia Ada na direct cost, madogo home, vizinga kutoka kwa marafiki zetu wa kitaa.
Nimeanza mradi baada ya kumaliza chuo. Na umenicost kma 13m hiv.
Nawashauri wanavyuo Ile pesa waitumie tu kwa meals and accommodation shule ipite Salama wasijaze stress za bure tu biashara zikienda kombo.
 
Pesa ya kujikimu (boom). Kiukweli nilinunua PC, smartphone na kuchonga kitanda tu. Labda pesa kdgo kwa madogo home. Kiukweli Ile pesa haitoshi kuanzisha miradi ya maana Wala kujengea, labda wale ambao familia zao zinajiweza kiuchumi. Ila sisi wengine hilo boom ndo lakulipia Ada na direct cost, madogo home, vizinga kutoka kwa marafiki zetu wa kitaa.
Nimeanza mradi baada ya kumaliza chuo. Na umenicost kma 13m hiv.
Nawashauri wanavyuo Ile pesa waitumie tu kwa meals and accommodation shule ipite Salama wasijaze stress za bure tu biashara zikienda kombo.

Wamekuelewa
 
Mwisho kupokea pesa ya Boom ilikuwa mwaka jana mwezi wa sita nilivyo maliza pale DUCE ila mpaka leo hii endapo utanisachi na ukanikuta na kapesa mfukoni ujue hiyo pesa ni zao la Boom, hapa sasahivi mfukoni nina 5000 zao la Boom na hili bando nalochatia zao la Boom pia.

Napata pesa ndogo sanaaaaa ila mpaka leo Boom lijakatika mazima kwangu.


Kuhusu kutusua maisha tusichoke wanangu miaka 5 mbele will be different story Focus Focus.
 
Boom ni hela ndogo sana ukizingatia nilikuwa na lipiwa 100% nilichofanikiwa kufanya kwa boom nikununua kabati gheto ninapo ishi kulipia kodi 100k per mwezi shwain kabisa mimi najilaumu ingawa sikuwa mtu wa bata kabisa sabufa la gheto nikanunulia na hela ya boom laki nne ikapotelea kwenye forex shubaamit mimi ila nashukuru Mungu tangu nimalize chuo ninakiakiba kimebaki mpaka now cha 100k na Mungu si athuman nilikuwa natenga 100k kwenye kila boom iyo haitumiki kwaiyo mwanzo wa boom mpaka nimemaliza utapiga hesabu mwenyewe hapo nilikuwa nakiasi gani cha pesa ambacho nilikiweka kimenisaidia sana kwenye kutembeza bahasha za kaki
 
Back
Top Bottom