Ni kwamba Diamond ndio kaizika Clouds au macho yangu?

Ni kwamba Diamond ndio kaizika Clouds au macho yangu?

Hawewezi kuizika Clouds Fm. Wewe unayesema haisikiki inategemea ulipo na mkoa uliopo na unachosikiliza.

Huwezi kuidondosha kampuni kirahisi kama unavyodhani wakati mshindani bado hauna vipindi vya maana zaidi ya kuweka muziki na kumsifia boss. Wasafi wajipange sana.
Kwel kabs hawa jamaa hawana vpnd n kumsifia boss t
 
Hiyo Wasafi Fm Inasikika Dar tu hata Online haipatikani, Alafu unabwabwaja,.

Mikoani raia Wasio na Smart phone hiyo Wasafi hawaijui na hilo Tamasha la Wasafi kuna raia kibao hamajui kama limefanyika..
 
Wakuu habarini,

Kama siamini macho yangu: Hivi ni kweli ninayo yaona? Naona kama Clouds mvuto wote kwisha, na hata tamasha lao la Fiesta halina hisia tena.

Shida ni nini, au ni upinzani uliyoletwa na huyu kijana wa Tandale?

Ushauri: Clouds mmezidisha chuki dhidi ya wasanii na kila siku mnaanzisha migogoro isiyo na tija, ndiyo maana muziki wetu haukui kwa level ile. Na pia msipende kuingiza chuki binafsi.

Ona kinachowatokea!
Pamoja na kwamba siipendi kihivyo clouds lakini clouds FM itabaki kuwa radio bora kwa sasa inchi nzima. Sijui upande wa clous TV hao wasafi huku sumbawanga hata hatujui ni kitu gani haswa
 
1.Chuki binafisi na wasanii
2.kuwanyonya wasanii/kulipa kiwango kidogo cha fedha kwa wasanii.
3.Kushindwa kuleta wasanii wa kimatafi kwenye kilele ambacho huwa kinafanyika Dar kwakisingizio cha kukuza wasanii wandani
Wakuu habarini,

Kama siamini macho yangu: Hivi ni kweli ninayo yaona? Naona kama Clouds mvuto wote kwisha, na hata tamasha lao la Fiesta halina hisia tena.

Shida ni nini, au ni upinzani uliyoletwa na huyu kijana wa Tandale?

Ushauri: Clouds mmezidisha chuki dhidi ya wasanii na kila siku mnaanzisha migogoro isiyo na tija, ndiyo maana muziki wetu haukui kwa level ile. Na pia msipende kuingiza chuki binafsi.

Ona kinachowatokea!
 
Pia ikumbukwe hao wasanii wa ndani hapo Dar, Raia wamewachoka hivyo kwenye kilele ambacho kinafanyika Dar... Walitakiwa wajaribu kuleta wasanii wakimataifa walau hata kwa level ya Africa kama walivyo fanya Wasafi Festival ama walivyokua wakifanya wao siku za nyuma.
 
Watu wa Dar huwa wananishangaza sana!Ujinga wanaoufanya huko wanaamini dunia nzima wanaufanya.
Wasafi inasikika Dar tu tena nadhani majobless ndo wanasikiliza
 
Hiyo Wasafi Fm Inasikika Dar tu hata Online haipatikani, Alafu unabwabwaja,.

Mikoani raia Wasio na Smart phone hiyo Wasafi hawaijui na hilo Tamasha la Wasafi kuna raia kibao hamajui kama limefanyika..

Tunamaanisha speed yake niya kasi sana mkuu
 
Watu wa Dar huwa wananishangaza sana!Ujinga wanaoufanya huko wanaamini dunia nzima wanaufanya.
Wasafi inasikika Dar tu tena nadhani majobless ndo wanasikiliza

Mkuu mm nina kazi yangu utumishi wa uma na nina sikiliza kila siku na kwa apa dar imepamba moto sana cjui uko kwenu chitoholi
 
Miaka yangu yote nliokulia kaskazini nilijifunza mengi
Ukabila upo na wanapendana kusapotiana
Undugu upo especially ukiwa unafahamiana na mtu fulani unashikwa mkono
Clouds ni redio nzuri ila tatizo lipo wamekumbatia ukanda sana yani 75% ya presenter ni kutoka chugga,
Wasanii wanao toka uko pia wanapewa airtime kubwa sana kuliko wengine mfano Whozu, Janjaro, weusi
Ukweli ni kuwa now jamaa ubunifu ni 0 mfano wamekuja na slogani ya Baba kasema # 100 yani kupiga nyimbo za bongo tu msimu huu wa grand finale yao sasa swali linakuja watapiga nyimbo za mahasimu wao?
Na kosa ninalo liona ni kua bifu la mtu limekua ni uhasama wa taasisi mfano millard ayo ukiacha mbali kua mfanyakazi wa CMG ila pia ana blog yake sioni mantick ya yeye kua anashindwa kusupport kazi za wengine kupitia blog yake kisa tu ni mfanyakazi mahala fulani.
Ila pia nliona kitu sikukipenda pale ambapo kina soudbrown wanamuita Moseiyobo idiamini wanasema amemtia mkosi aunt ezekiel mikosi mpk kunyang’anywa bar yake kiukweli jamaa waliongea maneno ya kanga sana sasa nkashindwa elewa bifu la mtu mwingine imekuaje limkost mwingine mpk kuzihakiwa
Mambo kama haya ndo yanafanya clouds ipoteze mvuto wake kwa sasa
Nimeona pia kuna kitu wanafanya mbagala na maeneo mengine usajili wa wasanii, kiingilio na mahala
Ila trust me najua apo kuna watu watachaguliwa maana ata comment ukurasa wa insta unaomba wcb wawepo je kama majority ikichagua unahisi watapewa nafasi?
Ila pia nimenotice kitu siku za karibuni baada ya King kiba kwenda press yake EATV jamaa kama wanambania ivi yani hawampi airtime ya kutosha kama before
Nauhakika ilo tamasha wasanii wake ni wale wale
Marioo, weusi, nandy, fid q,rostam,neddy, hamornize, mzee wa bwax, sholo mwamba, Jux, whozo, dogojanja, billnas hawa ni wasanii wao ata watu wachagueje hawa awawezi achwa.

Na hpa ndipo watu wanapowachoka coz hakuna jipya na ladha tofauti hawana
 
Back
Top Bottom