Ni kumvunjia heshima na pia kujivunjia mwenyewe
Ukimthamini na kujitunza kabla ataamini u mwanaume unaejiheshimu na itanogesha mahali fulani
Mi nadhani sio kosa bana. Bora kuukamua mua kabla haujaukata!!!
Unapomla kabla ya ndoa unapunguza hadhi ya ndoa yenyewe. Lengo la ndoa pia ni kuhalalisha kufanyana, kuna umuhimu gani tena wa ndoa wakati mmeshafanyana?.
Kama unataka kumuoa, subiri siku ya ndoa.
Kuhesabu kama kitu ni kosa au siyo kosa itategemeana unatumia base ipi kujudge kosa hilo. Ukitumia vitabu vya dini ( Kiislam/Kikristo) ni kharamu kabisa kumgusa mwanamke au mchumba au kwa title yoyote ile kama si mkeo wa ndoa. Ila ukitumia katiba ya nchi siyo kosa maana utakuwa hujavunja kipengele chochote kile,Mi nadhani sio kosa bana. Bora kuukamua mua kabla haujaukata!!!
Au kudhani watu wote wameelewa kama wewe, wakati hueleweki.Kuleta hoja halafu unaiacha hewani ni ukosefu wa akili
we ukisubiri wenzio wanajibebea tu kama wamemuumba wao, ukijakumuoa unakutana na 'laundry' na 'ngorongoro kreta' walokutengenezea wenzio, si heri hiyo crater uitengeneze mwenyewe ujue moja tu!
Unapomla kabla ya ndoa unapunguza hadhi ya ndoa yenyewe. Lengo la ndoa pia ni kuhalalisha kufanyana, kuna umuhimu gani tena wa ndoa wakati mmeshafanyana?.
Kama unataka kumuoa, subiri siku ya ndoa.