kumla tiGO............ kijana una mambo??!!!!!!!! kinachoniumiza kichwa, kabinti kako fresh, unakaoa kwa heshima, haumcameroon.................sasa kama ilikuwa mazoea yake.......... JIBU UTALIPATA....UKITOKA ANAKWENDA MECHI ZA UGENINI KWENDA UWANJA WA ZAMANI KUKAMEROOONIWAAAAAAAA wit her XXXXXXXX BBBBB....
Ninachojua malumbano ya hoja za aina hii huwa hayafikii muafaka bali kila mtu hubaki na anachokiamini, imani aliyojijengea kulingana na aliyoyashuhudia.
Ila ukweli ni kuwa kwenye malumbano hujitokeza makundi mawili lakini inapokuja kila katika utekelezaji hapo kama si wote basi wengi huungana yaani hubaki kundi moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.