Ni Kosa kumla mkeo mtarajiwa!!!!!!!!!!!!

kumla tiGO............ kijana una mambo??!!!!!!!! kinachoniumiza kichwa, kabinti kako fresh, unakaoa kwa heshima, haumcameroon.................sasa kama ilikuwa mazoea yake.......... JIBU UTALIPATA....UKITOKA ANAKWENDA MECHI ZA UGENINI KWENDA UWANJA WA ZAMANI KUKAMEROOONIWAAAAAAAA wit her XXXXXXXX BBBBB....
 
me naona hakuna ubaya, ni bora kutest kwanza kabla hujabeba jumla.
 
Ninachojua malumbano ya hoja za aina hii huwa hayafikii muafaka bali kila mtu hubaki na anachokiamini, imani aliyojijengea kulingana na aliyoyashuhudia.
Ila ukweli ni kuwa kwenye malumbano hujitokeza makundi mawili lakini inapokuja kila katika utekelezaji hapo kama si wote basi wengi huungana yaani hubaki kundi moja.
 
Back
Top Bottom