Kongamano kubwa bado linaendelea hapa Ar mjini. Mada motomoto zipo hewani, ikiwepo siri ya maandamano ya CDM. Nk
Wenye akili zetu tushajua zamani kuwa huko hapafai!Kongamano kubwa bado linaendelea hapa Ar mjini. Mada motomoto zipo hewani,katiba mpya, ikiwepo siri ya maandamano ya CDM. Nk. Pia linarushwa live kupitia radio IMAAN.
Linahusisha wanasiasi ama ni masheikh tu..tupe full
najaribu kufuatilia mkutano ni majungu tupu....oh katiba ya ukristu...oh wizara ya elimu kuna wakristu wengi. Oh freemasons.... Oh balozi wa papa nchini,,,oh mahakama ya kadhi....oh wakristu wamapewa ruzukuoh oh oh6 oh ohohohohohohohohohohohohohohohohohohohohohoohmara takbiiiiii1rrrrrrrrrrrrrrrrrrrr ndndhdnddndnd
ant kitimotoNimepita hapo hamna cha kongamano wala nini...ni mhadhara kama kawaida takbir,takbir
ajenda zinajulikana
ant CDM
ant US
ant Christians
Nimewasikiliza kwa kidogo (sheikh Basalle na wa kabla yake, Issa kama sikosei). Sijasikia kitu kipya zaidi ya 'malalamiko' yaleyale na 'ushahidi' uleule. Bado wanaendelea kuitizama Tanzani kama nchi ya waislamu na wakristo-wakatoliki pekee! Bado wanadhani adui wa kwanza wa uislamu anatoka nje ya waislamu!
Nimesikitika sana pale wanapodhani rais aliyepo madarakani 'tulimchagua' kwa sababu ya uislamu wake na hivyo kumkosoa tunamkosoa kwa sababu ya dini yake.
Wameongea mambo mengi na kusema ukweli mengine ni ya msingi tu lakini wanapoyachanganya na udini inaleta shida kidogo kwa mtu asiye wa imani hiyo.
najaribu kufuatilia mkutano ni majungu tupu....oh katiba ya ukristu...oh wizara ya elimu kuna wakristu wengi. Oh freemasons.... Oh balozi wa papa nchini,,,oh mahakama ya kadhi....oh wakristu wamapewa ruzukuoh oh oh6 oh ohohohohohohohohohohohohohohohohohohohohohoohmara takbiiiiii1rrrrrrrrrrrrrrrrrrrr ndndhdnddndnd